Hakuna njia rahisi na haraka, Balinjia gani rahisi na kwa haraka
Atumumie huduma za posta katika nchi husika na mzigo utakufikia hapa nchini. Sharti uwe na sanduku lako la posta.au ukapewa kwa nchi za ulaya na iweze kukufikia hapa bongo kwa njia rahisi..
Ndio mzigo waweza kutumwa kwa EMS na ukakufikiaAma Ems na je inaweza tumwa
Mudamdagani mpaka ika fika bongo?
Asante sn kwa maelezo yako mazuriHakuna njia rahisi na haraka, Bali
- Kuna njia rahisi - ila mzigo unachelewa kufika.
- Kuna njia ya haraka - bali gharama za kusafirisha ni kubwa.
Atumumie huduma za posta katika nchi husika na mzigo utakufikia hapa nchini. Sharti uwe na sanduku lako la posta.
Ndio mzigo waweza kutumwa kwa EMS na ukakufikia
Muda
- Hutegemea njia iliyotumika.
- Njia ya posta huwa ni ndani ya siku 14 hadi 21
- Njia haraka huwa ni ndani ya siku 7 hadi 10
Karibu