Njia ipi ni sahihi kuweza kuondoa mabaka ya chunusi usoni?

Njia ipi ni sahihi kuweza kuondoa mabaka ya chunusi usoni?

Two dimension array

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,592
Reaction score
2,381
Wakuu habari za weekend.
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Kutokana na mdogo wangu kuwa na chunusi za muda mrefu imepelekea USO wake kubaki na alama na makovu ya chunusi. Je ni njia ipi sahihi yakuweza kuondo hayo yote.

Kama kutakuwa na cosmetics au njia nyengine mbadara ili aweze kuwa soft na USO wake uwe na muonekano mzuri.

Karibuni
 
Asugue na kiazi ulaya (mviringo/cha chipsi/mbatata) usoni kwa siku mara mbili.

Asugue na nyanya ( nyanya maji/ tomato)usoni kwa siku mara mbili.

Asugue na unga wa dengu usoni uliochanganywa na unga wa manjano kwa siku mara mbili.

Asugue na manjano mbichi usoni kwa siku mara mbili.

NB: Asitumie vyote kwa wakati mmoja achague kipi kitamfaa au atumie kwa kubadilisha badilisha.
ajue pia vitu vya asili huleta matokeo taratibu kwa hiyo subira inahitajika.

#Team Natural#
 
Asugue na kiazi ulaya (mviringo/cha chipsi/mbatata) usoni kwa siku mara mbili.

Asugue na nyanya ( nyanya maji/ tomato)usoni kwa siku mara mbili.

Asugue na unga wa dengu usoni uliochanganywa na unga wa manjano kwa siku mara mbili.

Asugue na manjano mbichi usoni kwa siku mara mbili.

NB: Asitumie vyote kwa wakati mmoja achague kipi kitamfaa au atumie kwa kubadilisha badilisha.
ajue pia vitu vya asili huleta matokeo taratibu kwa hiyo subira inahitajika.

#Team Natural#
Ahsante gal
 
Back
Top Bottom