calendar na siku za hatari ni kutupia bao nje tu
Vijiti ni njia bora zaidi.Kalenda.
Kulingana na dini zingine kuoa mke zaidi ya mmoja ni uzinifu.Njia Ni Moja tu mkuu iliyosalama kabisa isiyo na madhara yoyote nayo nikufata Sunnah ya kuoa mke zaidi ya mmoja..! Basi!..
Hizo njia zilizobaki ni za kuchochea Uzinzi.. Uasherati...Uzinifu Basi..hazina tija zozote
hahahhaa ipisasa unataka kujua??Please! Tell me more! Its the first time kusikia wallahiii
๐๐๐Nimecheka sana, Unawasikia wazungu kwenye uti wa mgongo wanakuja kwa maringo.!!๐คฃThe Happiness unacheka nini? ๐๐๐
๐๐๐Nimecheka sana, Unawasikia wazungu kwenye uti wa mgongo wanakuja kwa maringo.!!๐คฃ
Jamani wakubwa mnafaidi๐๐Hahahahahaha mwili wote huwa unasisimka unakuwa kwenye dunia tofauti acha waite UTAMU ๐๐๐๐๐๐
Jamani wakubwa mnafaidi๐๐
hahahhaa ipisasa unataka kujua??
hahaha majivu anakunywa mwanamke baada ya tendo inafanya kama emmergency pills zinavofanyaUmesema
1. Majivu
2. Mbegu za mnyonyo (sijui mnyonyo ndo nini maybe give name in English)
3. Kitambaa
The how its used &how it works๐๐
hiyo ya kitambaa nilisikia,ukipoteza hicho kitambaa huwezi kupata ujauzito tenahahaha majivu anakunywa mwanamke baada ya tendo inafanya kama emmergency pills zinavofanya
mnyonyo huu ni mmea i really dont know exactly what its biological name ni mti flani una vimbegu vina kama miiba sasa mwwnamke anameza baada ya period yake kwisha anameza hizo tumba according na muda anotaka kuzuia mimba kumbuka sio minyonyo yote inafanya hio kazi ni ile inayojiotea yenyewe ndio husema ni the best
kuhusu kufunga kitambaa hii nayo mwanamke anachukua kitambaa alichotumia kuingia hedhi hakifui anakichukua na uchafu wake anafungia kama ni kabatini au kwenye chupa na kuificha mbali mtu asione wala panya sije akatambaa nacho
kuna flagyl pia lakini zote hizo bado zimesaliti mtu anatumia na mimba akabeba
Duuuh, bonge la elimu asantee Sana!!hahaha majivu anakunywa mwanamke baada ya tendo inafanya kama emmergency pills zinavofanya
mnyonyo huu ni mmea i really dont know exactly what its biological name ni mti flani una vimbegu vina kama miiba sasa mwwnamke anameza baada ya period yake kwisha anameza hizo tumba according na muda anotaka kuzuia mimba kumbuka sio minyonyo yote inafanya hio kazi ni ile inayojiotea yenyewe ndio husema ni the best
kuhusu kufunga kitambaa hii nayo mwanamke anachukua kitambaa alichotumia kuingia hedhi hakifui anakichukua na uchafu wake anafungia kama ni kabatini au kwenye chupa na kuificha mbali mtu asione wala panya sije akatambaa nacho
kuna flagyl pia lakini zote hizo bado zimesaliti mtu anatumia na mimba akabeba