Njia ipi ya Mpango wa uzazi ni bora kwa wanandoa?

Ya majivu nilishawahi kusikia.

Hiyo ya kitambaa aisee wanawake tuna shida....

Wakati nafanya fanya uasherati flagyl nimetumia 😶 haikuwahi kunikataa
 
Silaha za vita ya majimaji[emoji1]
 
Ya majivu nilishawahi kusikia.

Hiyo ya kitambaa aisee wanawake tuna shida....

Wakati nafanya fanya uasherati flagyl nimetumia 😶 haikuwahi kunikataa
hahaa ya kitambaa ndio hivo panya akiiburuta ndio usahau kubeba ujauzito

pia unanuia na kufunga mafundo kulingana na miaka unayotaka
 

Kitanzi hujataja
This is the best kama utajisikia vzr kutumia na pia mwenzi wako, hii ina effect ndogo sana kwenye hormone zako pia ni longterm, unapokitoa utachukua muda mfupi kuweza kurudia hali ya kawaida na kuweza kupata ujauzito kama itabidi...kwa maelezo zaidi unaweza pm au kutembelea watoa huduma kweye maeneo husika!

Kupanga ni kuchagua!
 
Na wale wanandoa wapya ambao wanakaa miaka miwili bila mwanamke kupata mimba wanatumia kinga gani?[emoji28]
 
Siku za hatari Mkuu dushe limekolea mrembo anapanda kileleni anakwambia usichomoe na wewe unawasikia wazungu kwenye uti wa mgongo wanakuja kwa maringo na kwa kuwa umeshaambiwa usichomoe unawaachia tu. MIMBA TAYARI!!!!
Umesemaje eti?!!
 
Reactions: BAK
Daaah bby imekua kama muugiza!! Ulipotelea wapi aisee hadi nilikuanzishia uzi..
Ngoja niutafute, isijekuwa uzi wa kunitishia jehanam hahahaha, huwa sisahau mambo yako ya jehanam
 
Calendar ndo njia bora . Fatilia mzunguko wako uujue vyema utaenjoy zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…