Nawashangaa sana mnaoitaja njia ya Calender kuwa ni salama.Nimekuwa mtaalamu wa kutumia calender lakini ilinifelisha mara tatu,hata sasa Wife amenasa kizembe kwa sababu ya hiyo..**** U Calender.
Shukrani..honestly sio kwa asilimia mia sababu watu wapo waliotumia na bado wakanasa
na wapo waliotumia zikawasaidia
karibu mno
hahahaha nacheka kama mazuri, njia za asili sio za kuziamini kabisa mimi niliwah kuambiwa wapo waganga wanafunga pia nikajisemea huko ndio kujifunga kizaz kwa njia ya ushirikina njia za kisasa shida ni zile side effects zake, zikikupenda had raha zikikuchukia utajuta shida utakazopataHaya mambo haya ni mzani unaelea mda wowote unabenukia upande wa pili.
Hapa nasubiri second born baada ya njia hiyo ya kitambaa kunichomesha.My first born ndio kwanza next month anatimiza mwaka🤣🤣.Hatari sana itakuwa ngumu kumkwepa mzungu na ma njia yake
I missed you more, hivi sikuacha barua ya kuachia ofisi, anyway kama lipumba tu nimerudi yani hahah
Nilimisbehave kwa mods binamu hahahaNiliona upo banned shida ilikua nini
Hiyo ya Njia ya kitambaa, Hiyo ni imani potofu mbaya sana.hahaha majivu anakunywa mwanamke baada ya tendo inafanya kama emmergency pills zinavofanya
mnyonyo huu ni mmea i really dont know exactly what its biological name ni mti flani una vimbegu vina kama miiba sasa mwwnamke anameza baada ya period yake kwisha anameza hizo tumba according na muda anotaka kuzuia mimba kumbuka sio minyonyo yote inafanya hio kazi ni ile inayojiotea yenyewe ndio husema ni the best
kuhusu kufunga kitambaa hii nayo mwanamke anachukua kitambaa alichotumia kuingia hedhi hakifui anakichukua na uchafu wake anafungia kama ni kabatini au kwenye chupa na kuificha mbali mtu asione wala panya sije akatambaa nacho
kuna flagyl pia lakini zote hizo bado zimesaliti mtu anatumia na mimba akabeba
kutomwagia ndani pia siyo njia salama.Hakuna hata salama hapo zote hizo ni mbaya. Njia salama kiafya ni kucheza na kalenda na kutokumwagia ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu mtihani sio mwepesi sana!Calendar na siku za hatari ni kutupia bao nje tu
jifunze kwanza ovulation ni nini... Pia jifunze kuwa siku 4 baada ya ovulation hilo yai linakufa...Nawashangaa sana mnaoitaja njia ya Calender kuwa ni salama.Nimekuwa mtaalamu wa kutumia calender lakini ilinifelisha mara tatu,hata sasa Wife amenasa kizembe kwa sababu ya hiyo..**** U Calender.
Njia ya kalenda uniasifia je ukakuta siku hiyo ni ya hatari na askari wako kashapiga gwaride utafanyajejifunze kwanza ovulation ni nini? Pia jifunze kuwa baada ya siku 4 ya ovulation hilo yai linakufa.
Ukishajua linakufa, hapo unaweza kufanya timing.
kikichokufelisha ni kwamba umemrukia wife tu baada ya kumaliza hedhi.
Hapo lazma uwezekano wa kufeli uwe mkubwa.
Ukiijua kalenda vizuri, na ukajua mzunguko wa mwanamke wa miezi 4 iliyopita.. Hapo njia ya kalenda utaifurahia vizuri tu sana na itakuwa effective kwa 99.4%.
Usiwe na papara kumrukia tu mwanamke akishamaliza hedhi, tulia jifunze Ovulation yake inaweza kuwa lini.
Hakuna hata salama hapo zote hizo ni mbaya. Njia salama kiafya ni kucheza na kalenda na kutokumwagia ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila calender ni mdanganyifu sana, hajawahi kuwa mkweli anabadilika kama kinyonga [emoji28], ni heri wale majivu tu dada zetu
Hapo ndo tatizo lilipo kwa watu wengi, watu wanashindwa kujicontrol mizuka ikishapanda. Askari akishapiga gwaride basiiiiii MTU anasahau taratibu zote hapo anachowaza tu ni kuingia ndani uwanja wa vita na kurusha makombora.Njia ya kalenda uniasifia je ukakuta siku hiyo ni ya hatari na askari wako kashapiga gwaride utafanyaje
IUCD .... Utanishukuru.Kumekuwa na dhana mbalimbali nyingine potofu juu ya njia bora za uzazi. Wengine wanaogopa kutumia kondomu kwa sababu tu zinatumika na vijana wazinifu.
Wengine wanaogopa kutumia vidonge eti vinaongeza makalio au cancer.
Sasa ebu tuambiene kwa wanandoa ipi ni njia bora ambayo haina madhara kiafya wala kimaadili.
1. Kondom
2. Sindano
3. Vidonge
4. Vijiti
Hizo ndio ninazo zifahamu kwa sasa kwa kujisomea kwenye vijitabu.
View attachment 1720486
@Carlos The Jackal mkuu naweza kuja pm nina shida kidogoIUCD .... Utanishukuru.