nikolas digala
Member
- Aug 7, 2016
- 42
- 25
Unawalindaje aiseeWanawake bahana ni wagumu sana kuelewa.. .. Kudate na wanawake wengi ni njia pekee ambayo kwa sasa inaweza kutumika kuwapoteza maadui na kuzuia kushambuliwa na maadui zangu. kwa ivo nawalinda ili wasisumbuliwe na kubaki salama salmin bila kuguswa .. Hasa kwa kipindi kigumu kama hiki cha anko[emoji4] [emoji4]
Lakini kwa bahati mbaya wanawake wengi hawawezi kuelewa hii njia mpya ya kuwalinda[emoji3] [emoji3] [emoji3] .
wisdom will kill me one day[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Laiti mngejua...teh
Hawajui kulinda wamefeli big timeupo shogaa! haha wanawaza kutulinda !we linda ununio wenzako wanavua msasan
Hawajui kulinda wamefeli big time
Ununio na Msasani karibu sana ntatumia hata radar ntamnasa mvuvi kabla hata hajarusha ndoano[emoji12] [emoji12] [emoji40]upo shogaa! haha wanawaza kutulinda !we linda ununio wenzako wanavua msasan
Hapa teknolojia itahusika na nikimkamata mvuvi huyo haramu atakutwa ununio.Kumchunga mwanamke ni kama kulinda bahari, wewe unalinda Tanga watu wanavua Lindi..
Teh..watu hawatumii mitandao siku hizi ni mwendo wa S.L.PHapa teknolojia itahusika na nikimkamata mvuvi huyo haramu atakutwa ununio.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]upo shogaa! haha wanawaza kutulinda !we linda ununio wenzako wanavua msasan
Niiweze digital analogy inishinde?, au ndo mbinu mliyotumia na mtabibu mkaona ndo salama sio.Teh..watu hawatumii mitandao siku hizi ni mwendo wa S.L.P
Jamaa ana maana hii[emoji116] [emoji116] [emoji116]hahahaha mwanamjke hachungwi jaman !
Kweli nimeamini mjinga hujikanga jua kwa kivuli cha kapelo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumchunga mwanamke ni kama kulinda bahari, wewe unalinda Tanga watu wanavua Lindi..