Njia mpya za kuongeza pesa za kigeni

Njia mpya za kuongeza pesa za kigeni

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
1.Kuuza uraia kwa watu wa nchi nyingine wenye pesa.Marekani wao ukishanunua municipal bond kwa dola laki Tano unapewa green card bila longo longo.Na sisi tuwauzie ma bond yetu kwa dola laki Tano tuwape uraia watakaozinunua

2.Makongamano ya kidini viongozi wa dini wahamasishwe kuandaa makongamano ya kimataifa ambayo huwaleta wahudhuriaji wengi toka mataifa mbalimbali ambao huja na pesa za kigeni kulipia.

Mahotel,usafiri nk Watu Kama TB Joshua wa Nigeria na Bushiri wa Afrika kusini wansingizia nchi walipo pesa nyingi za kigeni kupitia makongamano ya kidini.Mfano makongamano Kama hayo ya kusoma kurani,mabohora kuja kufanya kongamano nk huleta wageni wengi wenye pesa zao za kigeni.

3.Serikali kutafuta scholarship nyingi Sana.Wakenya jirani zetu wako aggressive Sana kwenye.Mtoto akipata scholarship pesa za kigeni tayari zinaanza kuingia mifukoni kwa vijana

4.Kuruhusu PayPal kutumika kupokea hela Tanzania.

Huu mfumo wa PayPal unasaidia mtanzania hata wa kawaida kabisa kuuza vitu online na kulipwa pesa zake za kigeni .Tanzania haijaruhusu huo mfumo Kenya hata muuza vikapu aweza uza online na akalipwa kupitia PayPal kwenye simu yake ya mkononi .Serikali iruhusu watanzania kupokea pesa kupitia PayPal.

Watanzania tunakuwa tu watumia pesa za kigeni kuingiza pesa za kigeni inakuwa vigumu sababu PayPal Tanzania hatutuhusiwi kupokea pesa kupitia mfumo huo!!!!

Njia zingine mpya ongezeni wengine
 
mada za maana kama hizi CHADEMA huwaoni wanataka mada za kuponda serikali
Hao CCM wapenda maendeleo mbona nao hawajachangia uzi? CCM INGEKUWA INAPENDA MAENDELEO LEO NINGEKUWA NAPOKEA PESA ZANGU KUTOKA PAYPAL LKN KUTOKANA NA CHAMA KILICHOJAZA WAJINGA WAMEZUIA. NCHI KARIBIA ZOTE ISIPOKUWA NCHI YA WAJINGA YA CCM KUMILIKI BLOG, WEBSITE NA KUWA NA YOUTUBE ACCOUNT LAZIMA UTOE MILIONI MMOJA WAKATI NCHI ZINGINE NI BUREE.
WAJINGA WOTE NDIYO WATAKAOIELEWA SERIKALI YA SSM. UGANDA WALIMU WAMEANDAMANA WAONGEZEWE MSHAHARA. SASA JARIBU KUANDAMANA KWENYE NCHI YA SSM KAMA HAUJATEKWA AU KUULIWA.
 
pay pal sijui kama ina work au lah? mtanisahihisha.
nadhani inafanya kazi kwenye baadhi ya nyakati mfano nilinnunua kitu ebay ule muamala ukafanikiwa ila dealler akawa hana ile bidhaa akani-refund kupitia paypal hela ikaingia kwenye credit card yangu(vodacom master card from banc abc)
 
1.Kuuza uraia kwa watu wa nchi nyingine wenye pesa.Marekani wao ukishanunua municipal bond kwa dola laki Tano unapewa green card bila longo longo.Na sisi tuwauzie ma bond yetu kwa dola laki Tano tuwape uraia watakaozinunua

2.Makongamano ya kidini viongozi wa dini wahamasishwe kuandaa makongamano ya kimataifa ambayo huwaleta wahudhuriaji wengi toka mataifa mbalimbali ambao huja na pesa za kigeni kulipia.

Mahotel,usafiri nk Watu Kama TB Joshua wa Nigeria na Bushiri wa Afrika kusini wansingizia nchi walipo pesa nyingi za kigeni kupitia makongamano ya kidini.Mfano makongamano Kama hayo ya kusoma kurani,mabohora kuja kufanya kongamano nk huleta wageni wengi wenye pesa zao za kigeni.

3.Serikali kutafuta scholarship nyingi Sana.Wakenya jirani zetu wako aggressive Sana kwenye.Mtoto akipata scholarship pesa za kigeni tayari zinaanza kuingia mifukoni kwa vijana

4.Kuruhusu PayPal kutumika kupokea hela Tanzania.

Huu mfumo wa PayPal unasaidia mtanzania hata wa kawaida kabisa kuuza vitu online na kulipwa pesa zake za kigeni .Tanzania haijaruhusu huo mfumo Kenya hata muuza vikapu aweza uza online na akalipwa kupitia PayPal kwenye simu yake ya mkononi .Serikali iruhusu watanzania kupokea pesa kupitia PayPal.

Watanzania tunakuwa tu watumia pesa za kigeni kuingiza pesa za kigeni inakuwa vigumu sababu PayPal Tanzania hatutuhusiwi kupokea pesa kupitia mfumo huo!!!!

Njia zingine mpya ongezeni wengine
Kuna vitu umeandika ni sahihi kabisa, Sema sasa Tatizo ni serikali iliyoko madarakani imewezesha vipi vitu hivyo kufanyika?
 
pay pal sijui kama ina work au lah? mtanisahihisha.
nadhani inafanya kazi kwenye baadhi ya nyakati mfano nilinnunua kitu ebay ule muamala ukafanikiwa ila dealler akawa hana ile bidhaa akani-refund kupitia paypal hela ikaingia kwenye credit card yangu(vodacom master card from banc abc)
Refund haina shida itarudi na utaipata.

Mchangiaji anaongelea kama umeuza kitu nje ya nchi (hata ndani) halafu hela ya manunuzi ije kwa PayPal akaunt yako halafu uitoe. Nadhani hili ndio haliwezekani
 
Refund haina shida itarudi na utaipata.

Mchangiaji anaongelea kama umeuza kitu nje ya nchi (hata ndani) halafu hela ya manunuzi ije kwa PayPal akaunt yako halafu uitoe. Nadhani hili ndio haliwezekani
anhaaa okay sikua najua hili nlidhani itakubali tu
 
1.Kuuza uraia kwa watu wa nchi nyingine wenye pesa.Marekani wao ukishanunua municipal bond kwa dola laki Tano unapewa green card bila longo longo.Na sisi tuwauzie ma bond yetu kwa dola laki Tano tuwape uraia watakaozinunua

2.Makongamano ya kidini viongozi wa dini wahamasishwe kuandaa makongamano ya kimataifa ambayo huwaleta wahudhuriaji wengi toka mataifa mbalimbali ambao huja na pesa za kigeni kulipia.

Mahotel,usafiri nk Watu Kama TB Joshua wa Nigeria na Bushiri wa Afrika kusini wansingizia nchi walipo pesa nyingi za kigeni kupitia makongamano ya kidini.Mfano makongamano Kama hayo ya kusoma kurani,mabohora kuja kufanya kongamano nk huleta wageni wengi wenye pesa zao za kigeni.

3.Serikali kutafuta scholarship nyingi Sana.Wakenya jirani zetu wako aggressive Sana kwenye.Mtoto akipata scholarship pesa za kigeni tayari zinaanza kuingia mifukoni kwa vijana

4.Kuruhusu PayPal kutumika kupokea hela Tanzania.

Huu mfumo wa PayPal unasaidia mtanzania hata wa kawaida kabisa kuuza vitu online na kulipwa pesa zake za kigeni .Tanzania haijaruhusu huo mfumo Kenya hata muuza vikapu aweza uza online na akalipwa kupitia PayPal kwenye simu yake ya mkononi .Serikali iruhusu watanzania kupokea pesa kupitia PayPal.

Watanzania tunakuwa tu watumia pesa za kigeni kuingiza pesa za kigeni inakuwa vigumu sababu PayPal Tanzania hatutuhusiwi kupokea pesa kupitia mfumo huo!!!!

Njia zingine mpya ongezeni wengine
Point mkuu
 
4.Kuruhusu PayPal kutumika kupokea hela Tanzania.

Huu mfumo wa PayPal unasaidia mtanzania hata wa kawaida kabisa kuuza vitu online na kulipwa pesa zake za kigeni .Tanzania haijaruhusu huo mfumo Kenya hata muuza vikapu aweza uza online na akalipwa kupitia PayPal kwenye simu yake ya mkononi .Serikali iruhusu watanzania kupokea pesa kupitia PayPal.
Hii kitu ingekuwa advocated awamu ya JK, ingewezekana sana lakini awamu hii ambayo Magu kila mtu anamuona mwizi kasoro yeye tu na Makonda, itakuwa ngumu kidogo manake na hivi alivyo mweupe kwenye masuala ya uchumi, akitokea miongoni mwa washauri wake akamwambia hii system itasababisha mafisadi kutorosha pesa nje, hapo hapo ataamini!
 
Back
Top Bottom