Njia niliyokuwa natumia kutuma meseji kutoka Facebook, X, etc kwenda kwenye Yahoo mail haifanyi kazi, msaada wakuu

Njia niliyokuwa natumia kutuma meseji kutoka Facebook, X, etc kwenda kwenye Yahoo mail haifanyi kazi, msaada wakuu

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nilikuwa naweza kutuma msg kutoka mitandao mingine ay yahoo, facebook , X etc kwenda kwenye yahoo mail yangu KUPITIA GOOGLE E-MAIL YANGU. eg nikitaka kutuma msg toka whatsapp nina highlight, click share, then inakuja :from google email yangu, then naweka yahoo email nazikuta huko naand then can print the msg. sasa process hiyo haifanyi kazi. tatizo nimevurga wapi?
 
# ROCA FELLA

INGIA GOOGLE KUFUATA UWEPESI WA KUTATUA TATIZO LAKO AU YOUTUBE PIA INAWEZA KUWA MSAADA TOSHA KWAKO.
 
Haujaeleweka una feli wapi?

Screenshot_20240609-170528.png
 
Haujaeleweka una feli wapi?

View attachment 3013025
Mfano, niko kwenye simu yangu android. Kuna msg whatsapp nataka kuiprint. naituma kwenye yahoo email yangu. Process ni kuwa msg say ya whatsapp inakuwa highlighted, zinakuja option ya share, then inanipa option naytaka kuituma wapi, whatsapp, msg, emailetc etc. Nachagua email, inanipa nafasi ya kuweka email. Then nawweka email yangu ikionesha kuwa msg hiyo inatoka google kwenda yahoo. sasa haifanyi kazi.
 
Back
Top Bottom