Njia nyepesi ama ngumu ya Urusi kumdhibiti Marekani

Njia nyepesi ama ngumu ya Urusi kumdhibiti Marekani

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Unaweza kuiita njia nyepesi ama ngumu kutokana na mtazamo wako ambayo Urusi yampasa au anaweza kuichukua ili kumdhibiti marekani dhidi ya hatua zake anazo chukua kupitia vita vya Ukraine katika kumdhibiti Urusi.

Kwangu mimi Nathan mtazamo kwa tazama hatua ambazo Urusi alichukua kumdhibiti Ufaransa pale alipoonesha ukiherehere katika vita vya Ukraine dhidi ya Urusi.

Hatua ambazo Urusi alichukua kupitia Wagner PM kwa kuharibu maslahi ya ufaransa magharibi mwa Afrika kupitia kufadhili mapinduzi ya kijeshi hivyo kutikisa ushawishi wa ufaransa katika eneo hilo jambo ambalo ni hasara kiuchumi na kisiasa kwa ufaransa.

Hatua hizo zilimpunguza kasi mfaransa katika vita vya Ukraine.

Hatua hizi Urusi anaweza au anapaswa kuchukua dhidi ya marekani katika maeneo hasa ya mashariki ya katika huu ndio wakati sahihi wa Urusi kuunga mkono makundi yote yanayotishia usalama wa marekani eneo la mashariki ya kati.

Ni muda sasa kufadhili kifedha,kiintelijensia,kisilaha hata kuunga mkono kisiasa makundi yote kwa maslahi yake.

Hii ndio njia ya haraka ya kumuweka marekani katika hali isiyo salama eneo hilo.

Mashariki ya kati ni moja ya eneo marekani alilo na maslahi nalo makubwa sana kisiasa na kiuchumi, ukifanikiwa kumuumiza marekani eneo hili lazima afikirie mara mbili mbili juu ya maamuzi yake anayotaka kuchukua dhidi yako.

Urusi anayo hii karata ya thamani mezani suala la yeye kuitumia ama kutokuitumia linabaki mikononi mwake.
 
Poa mi naonaga Russia Ina njia zake za kutatua mambo yake ambazo mara nyingi huwa zinakua tofauti na zile za magaribi.

Mi nazani Iran itakua main roll wa Russia eneo hilo alafu kupitia yeye ndio zinatekelezwa scandlestin operations.
Maono yangu haya makundi ya Houth, Hizbullah na Yale ya Iraq na Syria baada ya huu upepo kukata yatawezeshwa sana. Hili eneo la Gulf mataifa kama Jordan yajiangalie sana nahisi Kuna uwezekano wa kuandaliwa zengwe kwao.
 
Rassia anataka amani na Marekani na yupo tayari kwa mazungumzo,hapo Ukraine ni kakikohozi kamepita katika uhusiano wao,pili Rasia na Muyahudi wanamikataba Yao ndo maana licha ya kuweka mitambo ya kuzuia makombora S 300 na s 400 haitumii kimzuia Muyahudi kuwapiga wa Irani na wa Syrian
 
Naunga mkono hoja.

Sema Russia huwa haipendi kusuport wapuuzi alafu kesho wanaungana Tena na adui yake.

Pia tabia za waarabu usaliti una changia sana Russia kutokuingia miguu miwili eneo hilo
Tusubiri tuone hatua zao
 
Kwa hiyo unataka Russia awe taifa la kigaidi...!!! Sidhani kama wazungu wa Russia wanaweza kuwa wapumbavu kiasi hicho.

Huo ujinga waachie Iran tu hata mataifa ya kiarabu siku hizi yanajitambua hayawezi kufanya ujinga kama huo.

Huku tuendako ugaidi utakuja kwisha kwani huu utawala wa makafiri wa Iran hauna mustakbali wowote na utakuja kwisha miaka michache ijayo na kufanya vikundi vya kigaidi kukosa mfadhili.
 
Unaweza kuiita njia nyepesi ama ngumu kutokana na mtazamo wako ambayo Urusi yampasa au anaweza kuichukua ili kumdhibiti marekani dhidi ya hatua zake anazo chukua kupitia vita vya Ukraine katika kumdhibiti Urusi.

Kwangu mimi Nathan mtazamo kwa tazama hatua ambazo Urusi alichukua kumdhibiti Ufaransa pale alipoonesha ukiherehere katika vita vya Ukraine dhidi ya Urusi.

Hatua ambazo Urusi alichukua kupitia Wagner PM kwa kuharibu maslahi ya ufaransa magharibi mwa Afrika kupitia kufadhili mapinduzi ya kijeshi hivyo kutikisa ushawishi wa ufaransa katika eneo hilo jambo ambalo ni hasara kiuchumi na kisiasa kwa ufaransa.

Hatua hizo zilimpunguza kasi mfaransa katika vita vya Ukraine.

Hatua hizi Urusi anaweza au anapaswa kuchukua dhidi ya marekani katika maeneo hasa ya mashariki ya katika huu ndio wakati sahihi wa Urusi kuunga mkono makundi yote yanayotishia usalama wa marekani eneo la mashariki ya kati.

Ni muda sasa kufadhili kifedha,kiintelijensia,kisilaha hata kuunga mkono kisiasa makundi yote kwa maslahi yake.

Hii ndio njia ya haraka ya kumuweka marekani katika hali isiyo salama eneo hilo.

Mashariki ya kati ni moja ya eneo marekani alilo na maslahi nalo makubwa sana kisiasa na kiuchumi, ukifanikiwa kumuumiza marekani eneo hili lazima afikirie mara mbili mbili juu ya maamuzi yake anayotaka kuchukua dhidi yako.

Urusi anayo hii karata ya thamani mezani suala la yeye kuitumia ama kutokuitumia linabaki mikononi mwake.
Unapatikana kijiwe cha msikiti gani?
 
Kwa hiyo unataka Russia awe taifa la kigaidi...!!! Sidhani kama wazungu wa Russia wanaweza kuwa wapumbavu kiasi hicho.

Huo ujinga waachie Iran tu hata mataifa ya kiarabu siku hizi yanajitambua hayawezi kufanya ujinga kama huo.

Huku tuendako ugaidi utakuja kwisha kwani huu utawala wa makafiri wa Iran hauna mustakbali wowote na utakuja kwisha miaka michache ijayo na kufanya vikundi vya kigaidi kukosa mfadhili.
Ugaidi ni nini ?
 
Kwa
Unaweza kuiita njia nyepesi ama ngumu kutokana na mtazamo wako ambayo Urusi yampasa au anaweza kuichukua ili kumdhibiti marekani dhidi ya hatua zake anazo chukua kupitia vita vya Ukraine katika kumdhibiti Urusi.

Kwangu mimi Nathan mtazamo kwa tazama hatua ambazo Urusi alichukua kumdhibiti Ufaransa pale alipoonesha ukiherehere katika vita vya Ukraine dhidi ya Urusi.

Hatua ambazo Urusi alichukua kupitia Wagner PM kwa kuharibu maslahi ya ufaransa magharibi mwa Afrika kupitia kufadhili mapinduzi ya kijeshi hivyo kutikisa ushawishi wa ufaransa katika eneo hilo jambo ambalo ni hasara kiuchumi na kisiasa kwa ufaransa.

Hatua hizo zilimpunguza kasi mfaransa katika vita vya Ukraine.

Hatua hizi Urusi anaweza au anapaswa kuchukua dhidi ya marekani katika maeneo hasa ya mashariki ya katika huu ndio wakati sahihi wa Urusi kuunga mkono makundi yote yanayotishia usalama wa marekani eneo la mashariki ya kati.

Ni muda sasa kufadhili kifedha,kiintelijensia,kisilaha hata kuunga mkono kisiasa makundi yote kwa maslahi yake.

Hii ndio njia ya haraka ya kumuweka marekani katika hali isiyo salama eneo hilo.

Mashariki ya kati ni moja ya eneo marekani alilo na maslahi nalo makubwa sana kisiasa na kiuchumi, ukifanikiwa kumuumiza marekani eneo hili lazima afikirie mara mbili mbili juu ya maamuzi yake anayotaka kuchukua dhidi yako.

Urusi anayo hii karata ya thamani mezani suala la yeye kuitumia ama kutokuitumia linabaki mikononi mwake.
KWahiyo wenyewe siku zote hawajui ila wewe leo ndio umeamua kuwatonya
 
Back
Top Bottom