Njia nzuri na rahisi ya ujenzi wa ghala la kuhifadhi nafaka ( warehouse / godown)

Njia nzuri na rahisi ya ujenzi wa ghala la kuhifadhi nafaka ( warehouse / godown)

Changamoto2015

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
773
Reaction score
314
Habarini za Leo wanajumuia? Naombeni mwenye uelewa wa njia rahisi na nafuu kwenye ujenzi wa ghala la kuhifadhia nafaka. Ningependa ushauri wa kuhusiana na vipimo, materials za ujenzi Kati ya cement blocks, steel prefabs au za kuchoma.
Kwenye vipimo napenda kujua ghala dogo kabisa ushauri liwe la vipimo gani? Na endapo Nita opt matumizi ya prefabs .....je kwa Tanzania naweza kupata hizo materials au mpaka ni import from China or elsewhere abroad?
Mwisho kabisa vp kuhusu gharama na urahisi Kati ya kutumia prefabs au materials zingine nilizotaja hapo juu?
Asanteni Sana.
 
Habarini za Leo wanajumuia? Naombeni mwenye uelewa wa njia rahisi na nafuu kwenye ujenzi wa ghala la kuhifadhia nafaka. Ningependa ushauri wa kuhusiana na vipimo, materials za ujenzi Kati ya cement blocks, steel prefabs au za kuchoma.
Kwenye vipimo napenda kujua ghala dogo kabisa ushauri liwe la vipimo gani? Na endapo Nita opt matumizi ya prefabs .....je kwa Tanzania naweza kupata hizo materials au mpaka ni import from China or elsewhere abroad?
Mwisho kabisa vp kuhusu gharama na urahisi Kati ya kutumia prefabs au materials zingine nilizotaja hapo juu?
Asanteni Sana.
Mwenye kujua bado nasubiri ushauri
 
Duh! Watu wanatabia ya kususia thread balaa
Hahahaha usijali mkuu ...nilishapata elimu ya kutosha offline, FAO wana andiko lao offline ambalo ni free of charge wameelezea vizuri Sana hizi issues za construction ya godowns Especially kwenye developing countries.
Ukubwa na gharama kwa kutumia brick and mortar. Sikupenda kwa kuanza na ujenzi wa kutumia steel construction.
 
Hahahaha usijali mkuu ...nilishapata elimu ya kutosha offline, FAO wana andiko lao offline ambalo ni free of charge wameelezea vizuri Sana hizi issues za construction ya godowns Especially kwenye developing countries.
Ukubwa na gharama kwa kutumia brick and mortar. Sikupenda kwa kuanza na ujenzi wa kutumia steel construction.
Vizuri sana mkuu...kama ni document na haina changamoto ya hati miliki unaweza kushea pamoja nasi ili iwafaidishe wengine pia.
 
Back
Top Bottom