BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Habari wanajamvi ?
Natumai mpo na afya njema(jambo la kumshukuru mungu) lkn kama nitofauti na nilivyotumaini basi mungu akupiganieni mrudi katika hali za sawa.
Lengo na madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kupata njia(account mfano ya bank nk) iliyobora kabisa ya namna gani naweza tunza pesa katika hali ya usalama.
Lakini pamoja na hilo nikiwa kama mjasiriamali mdogo ningependa njia hiyo(account) iwe rafiki kwangu kwa upande wa makato, bonus ,na vingine ambavyo havitonijeruhi katika uchumi wangu binafsi.
Karibuni kwa michango yenu
Nb:Uandishi tuvumiliane tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai mpo na afya njema(jambo la kumshukuru mungu) lkn kama nitofauti na nilivyotumaini basi mungu akupiganieni mrudi katika hali za sawa.
Lengo na madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kupata njia(account mfano ya bank nk) iliyobora kabisa ya namna gani naweza tunza pesa katika hali ya usalama.
Lakini pamoja na hilo nikiwa kama mjasiriamali mdogo ningependa njia hiyo(account) iwe rafiki kwangu kwa upande wa makato, bonus ,na vingine ambavyo havitonijeruhi katika uchumi wangu binafsi.
Karibuni kwa michango yenu
Nb:Uandishi tuvumiliane tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app