Samahani wakuu,
Naombeni ushauri, nataka kununua kiwanja, kwa sh.7,000,000 mshikaji anayeniuzia nimepeleleza ni kweli ni chake na ndio anayetambulika na majirani.Tatizo lipo kwenye mauziano mshikaji anasema kadeposit pesa benki baada ya hapo tuje tuandikishane kitu ambacho kwangu mimi naona kama ni risk.
Naomba ushauri ni vipi tunaweza fanya mauziano ya namna hii kwa kuzingatia maslahi ya pande zote mbili yaani muuzaji anakuwa na uhakika wa pesa na mnunuaji anakuwa na uhakika wa kupewa documents.
Naombeni ushauri, nataka kununua kiwanja, kwa sh.7,000,000 mshikaji anayeniuzia nimepeleleza ni kweli ni chake na ndio anayetambulika na majirani.Tatizo lipo kwenye mauziano mshikaji anasema kadeposit pesa benki baada ya hapo tuje tuandikishane kitu ambacho kwangu mimi naona kama ni risk.
Naomba ushauri ni vipi tunaweza fanya mauziano ya namna hii kwa kuzingatia maslahi ya pande zote mbili yaani muuzaji anakuwa na uhakika wa pesa na mnunuaji anakuwa na uhakika wa kupewa documents.