Ikiwa imebakia wiki moja kwenda ukweni kujitambulisha na kutoa mahari, mtarajiwa anadai tupostpone our wedding mpaka amalizane na shule kwanza maana she cant handle the strees of finnishing college and wedding preparations..nimeudhika, i am thinking about calling the whole thing off, and move on to the next one..
nimeliwaza hili sana tu, naona bora nitokee mlango mwingine huu haunifai..Kama umeona sababu aliokupa sio ya msingi kwaupande wako na wewe ndio unaona vigezo vyote,inawezekana anajitia bei
au anakujaribu au anamipango yake mengine sio na wewe..
nimeliwaza hili sana tu, naona bora nitokee mlango mwingine huu haunifai..
i see the reasons are not convincing enough..
thought ts the inverse so i am the one to be doubted?? I should be doubdted mpaka katika hatua ya kwenda ukweni kwa ridhaa yangu mwenyewe??
Ikiwa imebakia wiki moja kwenda ukweni kujitambulisha na kutoa mahari, mtarajiwa anadai tupostpone our wedding mpaka amalizane na shule kwanza maana she cant handle the strees of finnishing college and wedding preparations..nimeudhika, i am thinking about calling the whole thing off, and move on to the next one..