Mwinyi_tza
Member
- Oct 9, 2018
- 23
- 5
Wakuu Poleni na Majukumu, nina changamoto kadhaa kuhusu Ujauzito wa mke wangu.
Wife wangu ni mjamzito unaokaribia miezi miwili, tatizo alilonalo kwa sasa ..anasumbuliwa na maumivu ya Tumbo Kwenye kinena na wakati mwingine chini ya kitovu.
Ameshaenda hospitali amepima maradhi yote ya ngono / zinaa vipimo vimeonesha yupo fresh lkn bado anasumbuliwa na tumbo...
Tafadhali naombeni msaada Wenu, ni Ujauzito wake wa kwanza.
Wife wangu ni mjamzito unaokaribia miezi miwili, tatizo alilonalo kwa sasa ..anasumbuliwa na maumivu ya Tumbo Kwenye kinena na wakati mwingine chini ya kitovu.
Ameshaenda hospitali amepima maradhi yote ya ngono / zinaa vipimo vimeonesha yupo fresh lkn bado anasumbuliwa na tumbo...
Tafadhali naombeni msaada Wenu, ni Ujauzito wake wa kwanza.