Njia pekee ya kuwalinda wachezaji wenu ni kusoma albadiri huko Misri vinginevyo wakirudi bongo hamtaamini

Njia pekee ya kuwalinda wachezaji wenu ni kusoma albadiri huko Misri vinginevyo wakirudi bongo hamtaamini

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Ushirikina ndio njia pekee inayotumiwa na Utopolo kufifisha nyota za wachezaj wa wekundu, huko kwa mwarabu Misri ndio mahali pake kusoma albadiri na dua nzito ya kafara.

Wachezaji wenu walindwe dhidi ya ushirikina na ule uwanja wa Bunju umefukiwa vitu vya ajabu, mkiacha mmekwisha.
 
Back
Top Bottom