Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mlenda FCKiukweli, sioni namna yoyote Yanga anaweza kuzuia kipigo kutoka kwa Simba, najua ss hv wiki nzima hii majina ya chama, okrah, sakho, banda, Okwa, Phiri, Dejan na wengine kadhaa yashaandikwa kwa kiarabu na kwenda kuzikwa makaburini na baharini, hakuna namna nyingine zaid ya hiyo, otherwise kutakuwa na maafa makubwa kwenye ngao ya jamii.
Mpira mwingi sana utapigwa jmoc, golini Manula, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, nne Inonga, sentahafu Quattara, viungo Mkude, Sakho, Chama, Okwa, Okrah na muuaji ni Dejan.Na ifike tu hiyo jmoc
Huyo chama,sakho,banda kwenye derby huwa mnawatoa nje sub leo tuwaroge kwa lipi?Huyo mzungu anaekimbia kimbia hovyo uwanjani...?Kiukweli, sioni namna yoyote Yanga anaweza kuzuia kipigo kutoka kwa Simba, najua ss hv wiki nzima hii majina ya chama, okrah, sakho, banda, Okwa, Phiri, Dejan na wengine kadhaa yashaandikwa kwa kiarabu na kwenda kuzikwa makaburini na baharini, hakuna namna nyingine zaid ya hiyo, otherwise kutakuwa na maafa makubwa kwenye ngao ya jamii.
Mpira mwingi sana utapigwa jmoc, golini Manula, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, nne Inonga, sentahafu Quattara, viungo Mkude, Sakho, Chama, Okwa, Okrah na muuaji ni Dejan.Na ifike tu hiyo jmoc
Haya maneno yenu ya kucheza mpira mdomoni, tumeyazoea. Ila siku ya mechi mkiingia uwanjani, mnapoteana na kuruka ruka tu!Kiukweli, sioni namna yoyote Yanga anaweza kuzuia kipigo kutoka kwa Simba, najua ss hv wiki nzima hii majina ya chama, okrah, sakho, banda, Okwa, Phiri, Dejan na wengine kadhaa yashaandikwa kwa kiarabu na kwenda kuzikwa makaburini na baharini, hakuna namna nyingine zaid ya hiyo, otherwise kutakuwa na maafa makubwa kwenye ngao ya jamii.
Mpira mwingi sana utapigwa jmoc, golini Manula, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, nne Inonga, sentahafu Quattara, viungo Mkude, Sakho, Chama, Okwa, Okrah na muuaji ni Dejan.Na ifike tu hiyo jmoc
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tukio lipi??Hiyo taarifa kuhusu mashabiki wawatupia Simba shanga jukwaani
*Wahusisha na tukio la ................!
Aione cocastic
Mkuu mbona jazba [emoji38][emoji16][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tukio lipi??
Kuna tukio la kuizidi porno video kutoka utopoloni?????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nani ana jazba??? Mie huyu au yeye??Mkuu mbona jazba [emoji38][emoji16][emoji1787]
Kiukweli, sioni namna yoyote Yanga anaweza kuzuia kipigo kutoka kwa Simba, najua ss hv wiki nzima hii majina ya chama, okrah, sakho, banda, Okwa, Phiri, Dejan na wengine kadhaa yashaandikwa kwa kiarabu na kwenda kuzikwa makaburini na baharini, hakuna namna nyingine zaid ya hiyo, otherwise kutakuwa na maafa makubwa kwenye ngao ya jamii.
Mpira mwingi sana utapigwa jmoc, golini Manula, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, nne Inonga, sentahafu Quattara, viungo Mkude, Sakho, Chama, Okwa, Okrah na muuaji ni Dejan.Na ifike tu hiyo jmoc
Taabu ya kubanwa mavu ndio hiiKiukweli, sioni namna yoyote Yanga anaweza kuzuia kipigo kutoka kwa Simba, najua ss hv wiki nzima hii majina ya chama, okrah, sakho, banda, Okwa, Phiri, Dejan na wengine kadhaa yashaandikwa kwa kiarabu na kwenda kuzikwa makaburini na baharini, hakuna namna nyingine zaid ya hiyo, otherwise kutakuwa na maafa makubwa kwenye ngao ya jamii.
Mpira mwingi sana utapigwa jmoc, golini Manula, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, nne Inonga, sentahafu Quattara, viungo Mkude, Sakho, Chama, Okwa, Okrah na muuaji ni Dejan.Na ifike tu hiyo jmoc