Njia rahisi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Je wewe uliwahi kupata mtaji kwa njia hizo ?? kuzungumza ni rahisi sana
Ndiyo Mkuu. Kwa kutumia ujuzi na elimu niliyopata ndiyo nilianza. Na hata baadae tukaungana na wahitimu wenzangu kuunda kampuni, mtaji wetu mkubwa ukiwa ni elimu tuliyopata badala ya kusubiri kuajiriwa tukajiajiri wenyewe. Na ss tumeajiri. Mtaji wa kusajili kampuni unaanzia 20,000/= usiogope kaka kutumia taaluma yako kujiajiri.
 
Kabla kufikikiria kupata mtaji wabiashara au waujasiriamali nilazima ujitafikari kwakina.
asilimia kubwa ya watanzania ni maskini(fukara) bila atawao kujifahamu. Kutoka kwenye umaskini sio simple kma muandika makala alivoandika
 
Kabla kufikikiria kupata mtaji wabiashara au waujasiriamali nilazima ujitafikari kwakina.
asilimia kubwa ya watanzania ni maskini(fukara) bila atawao kujifahamu. Kutoka kwenye umaskini sio simple kma muandika makala alivoandika
Heshima yako
Mkuu immu bin masoud rudia tena kusoma hiyo Makala nadhani utaielewa vema zaidi. Pili, njia zote hapo hakuna asieweza kuiweka kivitendo kwa sababu ni mambo ambayo tunaweza kutekeleza na yanatekelezeka ila hatuna uthubutu na hatupo 'smart' ktk kutoa vipaumbele vya msingi kwa mambo ya maana
Vlvl hii ni muendelezo wa makala na mada zangu ambazo huwa nazileta humu jukwaani. Kwa hy masuala ya kufanya tafakuri yalishajadiliwa kabla. Mfano mmojawapo huu hapa[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Makala: Wazo la biashara na makosa yake
 
Makala imejitosheleza. Wengi tunatamani kufanya biashara au ujasiriamali lakni hatujui hasa "vp tunaanza kuicheza ngoma"!
 
Ni taasisi gani zinatoa pesa kwa "michanganuo ya biashara"?........ una hoja nzuri hongera
 
Ni taasisi gani zinatoa pesa kwa "michanganuo ya biashara"?........ una hoja nzuri hongera
Asante Mkuu
Cheki na SIDO, NEEC, Mashirika ya kimataifa kutokana na malengo ya mradi wako (jitahidi uwe na mtazamo wa kuisaidia jamii). Na websites nyingine nitazileta za mashindano ya uandishi wa Michanganuo ya biashara. (Hili litakuwa zoezi endelevu na itakuja kama MADA MPYA)
 
Habarini wanajamvi, Mimi kijana Mwenye Nia ya kujiajiri, nimemaliza chuo Mwaka Huu mwezi wa 8 Mara baada ya kumaliza masomo yangu niliamua kuanzisha biashara ya nafaka, nimeifanya baadae nikapata wazo la kuanzisha frame, lakini nikawa Sina uwezo wa kulipia frame Kulingana na ufinyu wa mtaji niliokuwa nao, Hivyo Kuna ndugu yangu nikamshurikisha kuhusu kuniongezea mtaji na yeye Akasema atanisaidia. Hapo ndipo nikapata matumaini ya kulipia frame na kupelekea upungufu Kwenye kimtaji nilichokuwa nacho. Bahati mbaya mpaka Sasa yapata wiki 1 huyu ndugu Napiga simu yake Hapokei Wala sms hajibu Ila nikimwangalia Whatsap yuko online, kwa ninavyomjua ameshindwa kuwa muwazi kwamba amekwama.
Mkataba wa frame unazidi kusoma, Leo nimekuja kwenu nikiamini JF ni jukwaa lenye lengo la kuelimishana, na kusaidiana kwa namna moja au nyingine Mwenye Mawazo, au namna Yeyote aweze kunisaidia, Nitashukru Sana kwa comment zenu zenye kunijenga na Mungu atakubariki.
 
Habarini wanajamvi, Mimi kijana Mwenye Nia ya kujiajiri, nimemaliza chuo Mwaka Huu mwezi wa 8 Mara baada ya kumaliza masomo yangu niliamua kuanzisha biashara ya nafaka, nimeifanya baadae nikapata wazo la kuanzisha frame, lakini nikawa Sina uwezo wa kulipia frame Kulingana na ufinyu wa mtaji niliokuwa nao, Hivyo Kuna ndugu yangu nikamshurikisha kuhusu kuniongezea mtaji na yeye Akasema atanisaidia. Hapo ndipo nikapata matumaini ya kulipia frame na kupelekea upungufu Kwenye kimtaji nilichokuwa nacho. Bahati mbaya mpaka Sasa yapata wiki 1 huyu ndugu Napiga simu yake Hapokei Wala sms hajibu Ila nikimwangalia Whatsap yuko online, kwa ninavyomjua ameshindwa kuwa muwazi kwamba amekwama.
Mkataba wa frame unazidi kusoma, Leo nimekuja kwenu nikiamini JF ni jukwaa lenye lengo la kuelimishana, na kusaidiana kwa namna moja au nyingine Mwenye Mawazo, au namna Yeyote aweze kunisaidia, Nitashukru Sana kwa comment zenu zenye kunijenga na Mungu atakubariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…