Njia rahisi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Kufahamiana ni jambo moja na kuaminika ni jambo lingine. Na mambo yasipoenda vizuri? Naona umekurupuka na wazo lako
 
Iko poa sana mkuu hii
 
mawazo yako bhna hao watu mia wa kukopa sh laki moja moja unawatoa wap em jarbu ww tuone
 
Tajiri mkubwa na mashuhuri duniani, Bwana Warren Buffet aliwahi kusisitiza kuwa, kama unataka kujenga mtaji kutoka kwenye akiba yako binafsi ni sharti ujitahidi kuacha tabia ya “kuweka akiba baada ya kutumia na badala yake utumie kile kinachobaki baada ya kutenga pesa ya akiba”. Katika maisha ya umilikaji pesa duniani, kuna makundi ya ina mbili.

Kundi la Kwanza ni la wale wanaoweka akiba ya kile kinachobaki baada ya wao kutumia na kundi la pili ni wale wanaoweka akiba kabla ya kutumia. Kwa mfumo wetu wa mapato na matumizi ya pesa, tunaona kuwa kundi la waweka akiba baada ya kutumia ni wengi sana na ndilo kundi la watu ambao ni walalamikaji juu ya ukosefu wa mitaji ya kufanyia biashara au shughuli nyingine za kiuchumi.

Katika ulimwengu wa biashara, mtaji ndilo suruhisho la uwekezaji wowote wenye tija. Hatahivyo, mtaji umekuwa ni adimu kuupata na umekuwa ni kikwazo namba moja cha watu wengi kushindwa kuwekeza na hatimaye kuwa wajasiriamali. Ili kuweza kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa mitaji, watu wengi wamezidi kuhamasishwa kujiweea akiba binafsi kidogo kidogo kutoka kwenye mapato wanayopata.

Lakini pamoja na kwamba njia hii ya akiba binafsi ni rahisi na ya uhakika, bado suala la kuweka akiba limekuwa gumu kutekelezeka. Sababu kubwa ya kushindwa kujiwekea akiba ni kwamba watu wengi tumejenga utamaduni wa “kutumia kwanza na akiba baadae”.

Ukweli ni kwamba, pindi tunapopata pesa, kitu cha kwanza kufanya ni kutumia kwanza kwa lengo la kumaliza eti shida zilizopo. Hapa kipaumbele kinakuwa ni kumaliza shida na siyo kuweka “akiba”. Uzoefu umeonyesha kuwa, ukipata pesa na ukaanza kutumia kabla ya kutenga akiba, inakuwa siyo rahisi kubakiza pesa yoyote kwasababu shida ni nyingi na mahitaji ya wakati huo ni mengi, ukilinganisha na kiasi cha pesa unachokuwa umepata.

Ukipata pesa na ukatumia kabla ya kutenga akiba, basi ujue umelipa watu wengine kwanza kabla ya kujilipa wewe. Utamaduni wa kulipa watu wengine kwanza pindi tupatapo pesa umezidi kukua siku hadi siku na tumeendela kuulithisha kwa watoto wetu. Pesa yoyote unayojilipa kwanza ndiyo hiyo hugeuka kuwa “akiba”. Tunahitaji kujenga utamaduni wa kujilipa kwanza kabla ya kufikiria kununua kitu chochote kile pindi tunapoingiza pesa mifukoni mwetu.[HASHTAG]#Kiranja[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji385][emoji383][emoji387][emoji386][emoji386][emoji387][emoji383][emoji385][emoji125][emoji125]
Wageni karibuni wote
Humundani kuna fursa moja ambayo ita wainua watu wengi.

Jiunge na ajira hii ya mtandaoni kwa manufa yako mwenyewe

1.ajira hi aitaji kipato wala elimu INA itaji muda na kifurushi cha intanet

2.malipo yake yana fanyika SAA yoyote ndani siku za kazi pale uta kapo hitaji ulipwe

3.ukijiunga ili uweze kupatiwa pesa zako itakubidi ufikishe dola 150$ kwamara yakwanza hi wana ifanya ili kujua kama upo serious kufanya kazi nao.ila ukisha to a kwa Mara ya kwanza baada yahapo itakua unalipwa kila unapo fikisha 5$ nakuendelea

3.na malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote APA nchini kwetu

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua SAA moja nanusu kwa kufanya kazi bila kusimama bila kusimama

Kazi yenyewe niku angalia ma tangazo yanayo wekwa kwenye tovuti apo chini ili kujiunga

Boyeza linki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Viewing payed advertising sites rpmoney.club - Welcome!
Unaweza ukawa shilikisha na wenzako

[emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161]
 
Kwanza naomba nitangulize salaam kwenu natumaini mu wazima wa afya...

Twende kwenye hoja.. Nimejaribu kutafakari,kuwaza na kuwazua mtu ukitaka kufanikiwa kimaisha ni lazima ujiajiri lasivyo utaishia kua masikini kama wastaafu wengine..

Kwanini nimesema hivyo Now days makampuni mengi yanatafuta sana ma cheap labor,yani wakuajiri na wakulipe ujira mdogo kulingana na hali ya uchumi ulivyo sasa..

Mfano vijana wengi tukiajiriwa tunaliwapwa sio zaidi ya 500,000 yani kwenye hiyo hyo laki tano.. Inatakiwa ule, usafiri, pango la nyumba, umeme,maji,uvae,bado kama ndugu na jamaa usaidie kidogo kama mnavyo jua familia za kiafrica.. Huwezi iacha familia yako na ndugu baadhi..

Ukija kufanya hesabu hapo huwezi save zaidi ya 50,000 kwa mwenzi inamaana hadi ufikishe 1,000,000 sio chini ya miaka miwili..Sana mimi kama kijana napenda sana kufanya biashara lakini tatizo lipo hapa..

Wapi nitapata mtaji ata kwa kukopa...naamini katika kulima na biashara sio kuajiriwa ni kupotezeana mda na kutufanya tuzidi kua masikini..

Wakuu kwa anayefahamu namna ya kupata mkopo nafuu kwa sisi vijana tusio na asset yeyote ile kama ardhi ama nyumba.. Naomba nisaidiwe hapa najua wajuvi wa mambo mpo mtatoa msaaada wenu..

Na mtaji ninao utaka ni wa (5,000,000) million tano
 
Kuna jamaa alinipaga mbinu japo sijawahi ifanya hila nahisi ina msaada anaitwa ONTARIO ni member wa humu jf.

Yeye jamaa anadai kuna kitu kinaitwa FOREX yaani foreighn exchange kikimaanisha kubadilisha pesa kimtandao

Yaani wewe unatafuta mentor ambaye atakusaidia kufanya hiyo miamala nisawa unavyofanya biashara ya kuuza dollar kama unaelewa hicho kitu.

Mtafute huyo jamaa kwa msaada zaidi hutakuja kulialia tena huku utakuwa unatunyasia maji tu huko barabarani.
 
Mkuu cna hata cha kukoment hapa ila nataka nifatilie uzi huu nione ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…