Njia rahisi ya kutuma Fedha kutoka South kuja Tanzania

Aadilu

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
645
Reaction score
463
Habari za majukumu wadau. Niwaulize, Ni ipi njia rahisi ya kutuma fedha kutoka South Africa kuja Tanzania? Imenilazimu kuuliza hivi kwa sababu kulingana na shughuli nizifanyazo inanilazimu kupokea kiasi fulani cha fedha mara kwa mara kutoka kwa wadau wenzangu wanaoishi South Africa. Nimejaribu kutumia Moneygram gharama zake ni kubwa, walikata karibu nusu ya hela niliyotumiwa, nilipotumiwa fedha kwa njia hiyo kwa mara ya kwanza nilipotumia, Nasubir Msaada wenu
 
Waambie Wanaoishi huko waulizie wana kiberaue chao nafikiri magomeni au k,koo wanamtumia huyo mtu, then huyo mtu anakurushia kwa simu yako.
 
Tumia Western Union au Express money
 
Fungua acc ya dollar uko south na mtu wako wa tz awe acc ya dollar
 
Habari
Tumia njia hii hapo chini ni rahisi sana
Mpokeaji anaweza pokea kwa
akaunt yake
M pesa
Tigo pesa
Airtel money
Au akaenda kuchukua pesa kwenye tawi la benki.

Ukituma kwenye mitandao ya simu pesa inaingia ndani ya dk 5.

I send money online with WorldRemit. I think you should too. If you join and send 100.00 AUD we'll each get a 35.00 AUD voucher. Sign up here You’re invited | WorldRemit


Wakikuuliza code tumia hii VICENTK20
Ukifanya hivo mimi nitapata kamgao
Nakushauri ujiunge ni njia rahisi sana
Wana exchange rate nzuri
Makato madogo ni rahisi na salama
Nimekuwa nikiitumia njia hii kutuma pesa TZ tangu January nilipofika Australia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…