Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wanapendelea sana pombe gani?
daaah bad enough nina Serengeti lite...Huwa hawapendi hizi eeh?Bombardier aka BALIMI lager. Ukiwapa Konyagi wanaanzaga kulia
We jamaa inaonesha we ni mzoefu kwenye hizi mambo....maana nishafuga sana hawa sema sijawahi wajulia.....Bombardier aka BALIMI lager. Ukiwapa Konyagi wanaanzaga kulia
Duh..Bombardier aka BALIMI lager. Ukiwapa Konyagi wanaanzaga kulia