JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
1. Ongeza ulinzi kwenye 'accounts' zako mfano 'two factor authentication
2. Usimpe mtu password yako
3. Kuwa na tabia kusasisha 'update' tovuti unazotumia na akaunti zako za mitandao ya kijamii
4. Kuwa na tabia ya kubadilisha nywila mara kwa mara
Upvote
0