Njia ya kienyeji ya kupata watoto mapacha

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Kuna sehemu nimekaa naskia watu wanajadili kwamba kuna uwezekano wa mwanamke kupata watoto mapacha kwa kutumia unga wa soya na pilipili manga kwa wingi hii hupelekea mayai ya mwanamke kuwa makubwa na kugawanyika mara mbili jambo ambalo linaweza kupelekea endapo mbegu za mwanaume zitaingia kusababisha twins....nimejiuliza sana hii sayansi ya wapi hii mana kwenye biology sijawahi kusoma hii kitu....imekaaje hii wadau? maana hakuna linaloshindikana chini ya jua
 
Fanya experiment kimya kimya hapo kwenu.
 
Huenda ni kweli
mana pia niliwahi kuona wazee wakisukuma wakifanya mambo yao ili mbuzi wazae mapacha asee na ni kweli kabisa baada ya muda mbuzi mimba na uzao wake ukawa mapacha nikasema tobaaa Ngosha sio watu wazuri kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…