Njia ya kupata mtoto kwa waathrika wa UMIKWI

Njia ya kupata mtoto kwa waathrika wa UMIKWI

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Kama heading inavyojieleza hapo juu mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nilipimwa afya tangu 2012 nikaambiwa niko postive na nikaanziishiiwa dawa sasa inaniwia vigumu kupata mke wa kuoa kwa sababu napatwa na huruma nisije kumuuambukiza mtoto wa watu kwangu naona itakuwa dhambi kubwa wakati huo umrii nao unaniacha sina mtoto wala mke naombeni ushauri niko njia panda.
 
Pole kwa tatizo je unapoenda kuchukua dawa hujakutana na warembo kwenye foleni wenye hali kama yako??
 
Pole kwa tatizo je unapoenda kuchukua dawa hujakutana na warembo kwenye foleni wenye hali kama yako??
Ni kweli huwa wapo bt binafsi huwa akili yangu inavurugika sana nikishafika pale akili yangu huwa inavurugiika sana ila itabidi nifanye hivyo hamna namna tena....
 
Ni kweli huwa wapo bt binafsi huwa akili yangu inavurugika sana nikishafika pale akili yangu huwa inavurugiika sana ila itabidi nifanye hivyo hamna namna tena....
Fanya hivyo mkuu ukishindwa nitafute nikukuwadie
 
Usiwe na hofu ila kubaliana tu na hali yako , nenda kwa dactari atakuelekeza kila kitu , mwanamke utapata na mtoto asiye na VVU utapata . Nakutakia maisha marefu yenye mafanikio
 
ndio wapo wengi tu pale wanakuja na watoto wasio na maambukizi kikubwa ni kufuata maagizo ya madaktari
kichwa cha habar ni tofauti na maelezo yako ila nilicho kuelewa ni kwamba unaitaj mpenzi Sasa Je, umeisha mpata mpenzi? kama unae anajua aliako? na
kama anakujua ali yako na unajua yaje mmerudhiana nilaisi tu nikula kitu ninawezekana kutokuambukizwa kwa kufuata sheria na kanuni
Ilafanya mchakato kwanza umpate mpenzi ndio ntakujuza kifuatacho ili usiwaanbukize
 
Back
Top Bottom