njia ya kupunguza ngono zembe

Negrodemus

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2010
Posts
2,318
Reaction score
684
kwa staili tanzania bila ukimwi inawezekana ni ubunifu tu unaoitajika..............
 

Attachments

  • kls-wmk.php.jpg
    43 KB · Views: 460
:laugh::laugh::laugh: nimeipenda,unawaacha na tamaa zao,kitu locked....l.o.l
 
hilo box ni la chuma au?....na ufunguo anaushika nani? kwa sababu huyo mdada jinsi alivyovaa tu nina wasiwasi kama itakuwa ngumu kumvua hilo box
 
hilo box ni la chuma au?....na ufunguo anaushika nani? kwa sababu huyo mdada jinsi alivyovaa tu nina wasiwasi kama itakuwa ngumu kumvua hilo box
wa mvue ili iwaje wakati umeshaambiwa tz bila ngoma inawezekana uzuri ni kwamba ndani ya box kuna kila huduma haja kubwa ndogo, hata saloon pia imo
 
Duu hii kali, sasa ufunguo anashikiwa?
 
Duu hii kali, sasa ufunguo anashikiwa?
nani akushikie funguo inatunzwa kwenye nyumba za ibada, kuichukua mpk chet chwa ndoa ndoa tena mkishafungishwa ndio mwapewa
 
Kama box ni la mbao si unabomoa tu na kukuta kitu ndani kimetulia kimepata moto kinasubiri mwenzie tu kwa kuanza safari.
 
Adhabu gani hii? Unajikwatua then unajibebesha box. Ila binti kiwango anyway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…