Njia ya kusaidia Kongo ni moja tu, kuwarudisha Wabelgiji

Njia ya kusaidia Kongo ni moja tu, kuwarudisha Wabelgiji

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kila nikifikiria na kuwaza saana naona njia ya kusaidia Kongo ni moja tu. Ni kurudisha wabelgiji watutawale Mara ya pili ili watuonyeshe walifanyaje kipindi kile mpaka Kongo belge ikiwa ya pili uchumi Barani afrika maana sisi wakongo sioni yeyote ambaye anaweza kuongoza taifa ili kwa maendeleo makubwa.

Inawezekana wapo lakini kwasababu ya ugumu wa kuongoza nchi hii una wafanya wengi washindwe kutoa maoni yao jinsi ya kusaidia nchi. Maana Kuna kikundi cha watu tu ukitoa maoni yako ambayo yako tofauti na yao tayari wewe sio mtoto wa nchi ni mgeni dah!
 
Waafrika kwa ujumla kuna LAANA ina tutafuna.
"Black people are not complete human beings because they don't have good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings." Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Black people are not complete human beings because they don't have good brain to govern the society as white people are. They are still under the process of becoming the complete human beings." Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Pathetic
 
Hapana njia sahihi Ni nyinyi kuhakikisha mnawalipa na kuwashawishi JWTZ waweke kambi zao sehemu zote zenye shida. Yaan raisi atenge bajet kuwahudumia tena kwa dola na vifaa anunue kwisha habari

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wewe Hakuna watu ambao wanapitia wakati mgumu Kongo kama wanajeshi wa afrika mashariki

Mara waambiwe wao ndo M23 wenyewe

Mara hawafanyi lolote

Mara waondoke

Kwa ufupi Kongo tuna kosa muelekeo tatizo la rais wetu alitumia sifa kuanzisha vita hivi angetakiwa kujipanga kisawa Sawa baada ya kumjua adui yake ni nani.

Na siku abbaye angetamka tu kuwa adui wa nchi yetu ni Rwanda Na hapo hapo tungelianzisha Mara moja ila kulalamika kwake Kuna mfanya adui ajipange maana anajua Hatari ipo Na inaweza kutokea siku yeyote
 
Unajua DRC inabidi aige model ya Iran na Russia-hiyo ndio survival yao vingenevyo watachezewa na mataifa mengine kama mpira miaka nenda miaka rudi.

Moja ya matatizo makubwa kati ya Nchi ya Irani au Urusi na mataifa ya mengine hasa ya magharibi ni Rasilimali walizo nazo hao jamaa.Ukiangalia Russia ndio Nchi pekee Duniani inayoongoza kuwa na Rasilimali nyingi Duniani,hivyo hivyo kwa Irani inaongoza Duniani kuwa na reserves za mafuta na gas.

Mababeru walitumia kila njia kuziweka hizo Nchi under control tokea miaka hiyo mpaka Leo,but kupitia viongozi wao wameendelea kuwa imara.

DRC Congo haina utofauti wa hizo Nchi 2,matatizo yao yanatokana kuwa resources nyingi za kila aina hivyo wanagombanishwa na external countries.

Solution pekee ni waingia ushirika na Nchi kama Russia au Irani wajiweke vizuri kijeshi kupambana na Nchi yoyote-ni long process but itawaondolea matatizo yote vinginevyo zitakuwa ndoto za mchana Congo kuja kuwa na aamani.
 
Unajua DRC inabidi aige model ya Iran na Russia-hiyo ndio survival yao vingenevyo watachezewa na mataifa mengine kama mpira miaka nenda miaka rudi...
Ili nalo neno lakini Sasa unafikiri hao wanao tu tunyanyasa watakubali kirahisi Shamba lao kudhibitiwa?
 
Unajua DRC inabidi aige model ya Iran na Russia-hiyo ndio survival yao vingenevyo watachezewa na mataifa mengine kama mpira miaka nenda miaka rudi...
Wazo lako ni zuri lakini si kwa nchi zetu hizi za kiafrica.

Kabla ya kwenda mbali, hebu rudi kwanza kusoma historia ya hizo nchi 3 ulizozitaja hapa ili uone utofauti na ugumu wa kufikia hayo unayoyasema.

Congo ni moja ya nchi ya kiafrika ambao tumeshafanywa mpaka watumwa na wazungu pamoja na waarabu, wakati kwa hizo nchi zingine, hakuna m persia (iran) au mrusi aliewahi kufanywa mtumwa na nchi yoyote.

Pia Iran (uajemi) ni nchi yenye historia ya ubabe tangu enzi na enzo kabla hata ya kuzaliwa kwa Yesu. Ndiomaana hata katika biblia ilitajwa kuwa hiyo ni miongoni mwa nchi matata sana tangu enzi na enzi. So ndio maana leo hii unaendelea kuiona kuwa bado imaara mno na hata wazungu wa magharibi wanalijua hilo, maana ina historia hiyo ya kujizatiti kwa zaidi ya miaka 2000 nyuma.

Halikadhalika pia Urusi imetokea kuwa nchi yenye nguvu katika karne fulan zilizopita na mpaka leo imeendelea kushikia nguvu hizo kama ilivyo kwa Iran (uajemi)

So kwa Congo kuwa kama kati ya nchi hizo tena kwa nchi hizi za kiafrika ni vigumu sana angalau ingekuwa wenzetu wa bara la Asia, lakini sio waafrika ambao tuko weak kwa kila kitu kuanzia akili, maarifa, uthubutu, elimu nk.
 
Unajua DRC inabidi aige model ya Iran na Russia-hiyo ndio survival yao vingenevyo watachezewa na mataifa mengine kama mpira miaka nenda miaka rudi.

Moja ya matatizo makubwa kati ya Nchi ya Irani au Urusi na mataifa ya mengine hasa ya magharibi ni Rasilimali walizo nazo hao jamaa.Ukiangalia Russia ndio Nchi pekee Duniani inayoongoza kuwa na Rasilimali nyingi Duniani,hivyo hivyo kwa Irani inaongoza Duniani kuwa na reserves za mafuta na gas.
Mababeru walitumia kila njia kuziweka hizo Nchi under control tokea miaka hiyo mpaka Leo,but kupitia viongozi wao wameendelea kuwa imara.

DRC Congo haina utofauti wa hizo Nchi 2,matatizo yao yanatokana kuwa resources nyingi za kila aina hivyo wanagombanishwa na external countries.

Solution pekee ni waingia ushirika na Nchi kama Russia au Irani wajiweke vizuri kijeshi kupambana na Nchi yoyote-ni long process but itawaondolea matatizo yote vinginevyo zitakuwa ndoto za mchana Congo kuja kuwa na aamani.
Russia na Iran hawakusaidii kuwa bora kijeshi , kwann Russia hakuwasaidia former soviets kuwa bora kijeshi ? waafrika bado mna mentality za omba omba

Ila mkizingatia haya mtatoboa

+Acheni uroho wa madaraka
+Acheni au punguzen Umimi/ubinafsi/Disunity i e udini , ukabila , ukanda , classes ( economic status + educational level + understanding level + exposure level ) , uchama etc
+Rushwa
+kupenda vya dezo
+Kuheshimiana
+Uzalendo wa kwel
+ Kila mwananchi kujua wajibu wake kisiasa , kijamii na hata kiuchumi i.e

*kisiasa ( kushiriki kikamilifu kweny chaguzi zozote na kuepuka ma kuzuia yeyote ambae anavuruga shughuli za uchaguzi ama rushwa au anaetumia hoja za kikabila au udini au kikanda kumtangaza mgombea wake ) ,
*kijamii ( swala la ulinzi wa watu na mali zao , usalama wa afya na elimu na ni jukumu la wananchi maana wao ndo serikali hapa tunaona wananchi wengi wanaachia wale wachache walihodhi nadhifa kwa ajili ya wengi wao ndo wabebe kila jukumu mf shule ina uhaba wa walimu basi wananchi watoe mchango wao au kuna kituo cha afya pia wananchi wanaeza jenga majengo na serikali wakilishi ikaweka dhana na wataalamu )
*Kiuchumi ( wananchi lipeni kodi na ushuru ili azina ya nchi iwe na akiba ya kutosha kwa huduma za kijamii na maboresho ya maeneo ya makazi au maofisini pamoja na huduma nyingine za kijamii , sio kusema migodi , maziwa na misitu ndo iwe tegemezi wkt huko tunapewa % ya kinachovunwa na wawekezaj

+Cha mwisho walihodhi madaraka au uwakilishi basi wanapaswa kutambuana kuheshimu na kuishi katiba ya nchi husika , kama kuna madai ya maboresha , njia sahihi zifuatwe ili iboreshwe katiba ya nchi husika

+Kama katiba ya nchi husika inatambua democracy kama mhimili wa siasa basi zile principles of democracy zifuatwe

DRC IKIFANYA HATA NUSU YA HAYA ITAPIGA HATUA KUTOKA HAPA WALIPO MAANA HATA HAO WABELGIJI WANAFUATA HAYA
 
Hapana njia sahihi Ni nyinyi kuhakikisha mnawalipa na kuwashawishi JWTZ waweke kambi zao sehemu zote zenye shida. Yaan raisi atenge bajet kuwahudumia tena kwa dola na vifaa anunue kwisha habari

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ushauri mzuri sana huu. Tafadhali Wakongomani wauchukue.
 
naungana na mtoa mada 100%, Africa kijumla tunahitaji kutawaliwa tena.

Watu weusi wamelaanika.
 
" Kuna kikundi tu cha watu ukitoa maoni yako ambayo yako tofauti na yao, tayari wewe siyo mtoto wa nchi ni mgeni "
 
Unajua DRC inabidi aige model ya Iran na Russia-hiyo ndio survival yao vingenevyo watachezewa na mataifa mengine kama mpira miaka nenda miaka rudi.

Moja ya matatizo makubwa kati ya Nchi ya Irani au Urusi na mataifa ya mengine hasa ya magharibi ni Rasilimali walizo nazo hao jamaa.Ukiangalia Russia ndio Nchi pekee Duniani inayoongoza kuwa na Rasilimali nyingi Duniani,hivyo hivyo kwa Irani inaongoza Duniani kuwa na reserves za mafuta na gas.

Mababeru walitumia kila njia kuziweka hizo Nchi under control tokea miaka hiyo mpaka Leo,but kupitia viongozi wao wameendelea kuwa imara.

DRC Congo haina utofauti wa hizo Nchi 2,matatizo yao yanatokana kuwa resources nyingi za kila aina hivyo wanagombanishwa na external countries.

Solution pekee ni waingia ushirika na Nchi kama Russia au Irani wajiweke vizuri kijeshi kupambana na Nchi yoyote-ni long process but itawaondolea matatizo yote vinginevyo zitakuwa ndoto za mchana Congo kuja kuwa na aamani.
Kama kawaida waafrika wajinga hupenda kutafuta visingizio vya matatizo yao wanayosababisha wenyewe kwa ujinga wao na tamaa zao za kutawala.

Wanaopigana ni wakongomani wenyewe na wala hakuna wapiganaji kutoka nje ya Congo DR walioingia kufanya vurugu humo. Sasa je wakongomani wakiamua kukaa chini na kumaliza tofauti zao nani atawakataza?

Matatizo ya Afrika yanaletwa na waafrika wenyewe kisha wanajifanya kutafuta mchawi nje ya Afrika na ndio maana tutabaki wajinga hivyo hivyo siku zote. Bother alisema ukweli kabisa.
 
Back
Top Bottom