Njia ya kushinikiza Jambo kwa kujipaka mavi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna style moja nimewahi kusikia eti mtu anataka akamatwe anajipaka mavi binadamu wanaogopa kumkamata.hivi tukio kama hilo nilakawaida au mhusika anakuwa Ana matatizo ya akili?
 
Kuna style moja nimewahi kusikia eti mtu anataka akamatwe anajipaka mavi binadamu wanaogopa kumkamata.hivi tukio kama hilo nilakawaida au mhusika anakuwa Ana matatizo ya akili?
MHUSIKA ITAKUWA KAVUTA LILE JANI PENDWA LINALOPENDWA NA RASTA
 
Kaulize pale mahakama ya hakimu mkazi morogoro kuna mtuhumiwa alijipaka mavi akatoka nduki alifukuziwa na manjemba fulani yaliyovaa kiraia mpaka akakamatwa na mimavi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…