Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Maisha kwa kweli yanahitaji ujasiri sana, nakumbuka nilikotoka, jinsi nilivyosurubika nikiwa sekondari hadi namaliza kidato cha 6 nilikuwa nimechoka sana, mwaka 2011 ndo nilipohitimu kidato cha 6 ikanibidi nikae mtaani nikifanya vibarua vya kila aina na kujianzishia miradi mbalimbali ndipo mwaka huu nikaweza kuchukua vyeti vya sekondari baada ya kumaliza madeni ya ada niliyokuwa nadaiwa.
Bila kukata tamaa na wala kujua itakuwaje nikaomba chuo cha diploma ya afya kupitia NACTE nikakosa baada ya kutoka chaguo la kwanza, katika maisha niliyoishi nikakumbuka kuna mtu nimewahi kukutana naye nikamweleza nia yangu ya kusoma akanambia yeye msaada wake ni kunitafutia chuo hatimaye nikafanikisha chuo cha private(CO), bado maisha yananipeleka puta, mpaka sasa sijui ada nitapata wapi. Wadau yoyote mwenye njia au nia ya kunisaidia naomba ajitokeze.. nipo tayari kumwambia stori yangu yote, anaweza kunipata hapa 0782168784, maswali yote nitajibu. kama kweli una nia ya kunisaidia nitafute tuongee zaidi. AHSANTE.. mimi ni -ME
Bila kukata tamaa na wala kujua itakuwaje nikaomba chuo cha diploma ya afya kupitia NACTE nikakosa baada ya kutoka chaguo la kwanza, katika maisha niliyoishi nikakumbuka kuna mtu nimewahi kukutana naye nikamweleza nia yangu ya kusoma akanambia yeye msaada wake ni kunitafutia chuo hatimaye nikafanikisha chuo cha private(CO), bado maisha yananipeleka puta, mpaka sasa sijui ada nitapata wapi. Wadau yoyote mwenye njia au nia ya kunisaidia naomba ajitokeze.. nipo tayari kumwambia stori yangu yote, anaweza kunipata hapa 0782168784, maswali yote nitajibu. kama kweli una nia ya kunisaidia nitafute tuongee zaidi. AHSANTE.. mimi ni -ME