Njia za kuondoa matangazo kwenye Android

Njia za kuondoa matangazo kwenye Android

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Habari wakuu! Kwenye simu yangu nilikuwa na shida ya matangazo kila sekunde 30 tangazo, kibaya zaidi nikiwasha tu data, matangazo yanaanza kujitokeza! Hii simu nilinunua kwa mtu nahisi aliuza kwasababu ya matangazo haya!

Nilikuwa nimetafuta kila njia ya kuuondoa lakini imeshindikana, ilikuwa imekuwa kero kwangu, lakini Leo katika pitapita zangu humu nimeona kuna mtu kapost namna ya kuondoa pop -up na adds kwenye simu, nimeapply nimefanikiwa kwa asilimia 100% huyu jamaa ni hatari sana, ametusaidia sana, namshukuru sana!

Procedure ni hizi
1: India kwenye setting
2: search neno private DNS
3:choose the optional private Dns provider host name
4: ingiza neno " dns.adguard.com
5: save

Ukimaliza hizo procedure ndo basi tena
 
Mi sijaelewa, ukiwasha simu tu yanakuja matangazo how? Mnieleweshe wakuu.
Feature ya Private DNS nadhani inaanza kwenye Android 9 Pie kama kumbukumbu zako ziko poa so hakikisha simu ako iko ivo then fuata muongozo wa hatua kama hizi..

Nenda settings ya simu yako then fuata muongozo wa screenshots zangu hapo chini.

Hiyo Private DNS weka hii ndo inakill ads kwa zaidi ya 90%

dns.adguard-dns.com
Screenshot_20231210-124518.jpg
Screenshot_20231210-124608.jpg
Screenshot_20231210-125049.jpg
 
Kwanza tueleze hayo matangazo ni yapi,yale yanayotokea kwenye apps au yapi hayo..?
 
Kwanza tueleze hayo matangazo ni yapi,yale yanayotokea kwenye apps au yapi hayo..?
Inafanya kazi pote kwenye websites au apps ila kwenye apps sio zote ina filter ads kuna apps still ads zita pop-up japo sio sana. Ila kama una surf kwenye websites huko ads inatafuna haswaaa.
 
Mi sijaelewa, ukiwasha simu tu yanakuja matangazo how? Mnieleweshe wakuu.
This article highlights a crucial topic effectively. The examples used are relatable, and the tone is both engaging and informative. However, adding more recent data or studies could strengthen the argument further. I also appreciate the clear structure, which makes it easy to follow. Including expert opinions or real-world applications would elevate its impact. Overall, this is a great read with room for even more depth and perspective!
 
Habari wakuu! Kwenye simu yangu nilikuwa na shida ya matangazo kila sekunde 30 tangazo, kibaya zaidi nikiwasha tu data, matangazo yanaanza kujitokeza! Hii simu nilinunua kwa mtu nahisi aliuza kwasababu ya matangazo haya!

Nilikuwa nimetafuta kila njia ya kuuondoa lakini imeshindikana, ilikuwa imekuwa kero kwangu, lakini Leo katika pitapita zangu humu nimeona kuna mtu kapost namna ya kuondoa pop -up na adds kwenye simu, nimeapply nimefanikiwa kwa asilimia 100% huyu jamaa ni hatari sana, ametusaidia sana, namshukuru sana!

Procedure ni hizi
1: India kwenye setting
2: search neno private DNS
3:choose the optional private Dns provider host name
4: ingiza neno " dns.adguard.com
5: save

Ukimaliza hizo procedure ndo basi tena
Aisee hata mimi umenisaidia. Nilikuwa natafuta sana namna ya kuzuia nikawa nashindwa sasa umenisaidia sana. Barikiwa.
 
Back
Top Bottom