Njia za kupata mtaji wa biashara

jasyfabiano

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
18
Reaction score
35
Habari za mida wasaka tonge wenzangu,
Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara.
Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?
 
Uko WAP?
Biashara gani unataka kufanya?
 
Ukipata ufahamu wa kupata mtaji ni tunu kubwa ktk utafutaji wa utajiri.

Kama una kipaji chochote kibadilishe kikupe pesa hatakama ni ndogo kusanya tu maana hakuna mafanikio rahisi.

Vinginevyo tafuta wapiga tofali wakupe kibarua ama ujishughulishe kwa njia yoyote halali upate mtaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…