jasyfabiano Member Joined Dec 19, 2014 Posts 18 Reaction score 35 Sep 16, 2018 #1 Habari za mida wasaka tonge wenzangu, Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara. Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?
Habari za mida wasaka tonge wenzangu, Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara. Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?
P Political Engineer2 Senior Member Joined Feb 23, 2018 Posts 149 Reaction score 117 Sep 16, 2018 #2 Unataka mtaji wa shilling ngapi?
jasyfabiano Member Joined Dec 19, 2014 Posts 18 Reaction score 35 Sep 16, 2018 Thread starter #3 shilingi laki moja tu
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 13,998 Reaction score 31,757 Sep 16, 2018 #4 Kwani kwa sasa unajihusisha na kazi gani?
Rasputin JF-Expert Member Joined Mar 13, 2018 Posts 557 Reaction score 685 Sep 16, 2018 #5 Ngoja waje, na mimi nahitaji mtaji wa $40k
fagix JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 739 Reaction score 554 Sep 16, 2018 #6 Uko WAP? Biashara gani unataka kufanya?
jasyfabiano Member Joined Dec 19, 2014 Posts 18 Reaction score 35 Sep 16, 2018 Thread starter #7 fagix said: Uko WAP? Biashara gani unataka kufanya? Click to expand... Nipo dodoma ,nataka kuanzisha kuuza juice
fagix said: Uko WAP? Biashara gani unataka kufanya? Click to expand... Nipo dodoma ,nataka kuanzisha kuuza juice
Sokoro waito JF-Expert Member Joined Nov 21, 2014 Posts 2,201 Reaction score 2,599 Sep 16, 2018 #8 Ukipata ufahamu wa kupata mtaji ni tunu kubwa ktk utafutaji wa utajiri. Kama una kipaji chochote kibadilishe kikupe pesa hatakama ni ndogo kusanya tu maana hakuna mafanikio rahisi. Vinginevyo tafuta wapiga tofali wakupe kibarua ama ujishughulishe kwa njia yoyote halali upate mtaji.
Ukipata ufahamu wa kupata mtaji ni tunu kubwa ktk utafutaji wa utajiri. Kama una kipaji chochote kibadilishe kikupe pesa hatakama ni ndogo kusanya tu maana hakuna mafanikio rahisi. Vinginevyo tafuta wapiga tofali wakupe kibarua ama ujishughulishe kwa njia yoyote halali upate mtaji.