CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
NJIA ZA KUWAANDAA WATOTO WAKO KUJA KUWA WAJASIRIMALI,
Wana janvi ni ukweli usiopingika kwamba, SUCCESSIFUL ISGENERTIC, na Njia za kuanza Ujasirimali mara nyingi huanzia mbali sana,
Na kwa sisi huku Bongo leo hii tungekuwa mbali sana kamaWazazi wetu wangetuandaa kuja kuwa Wajasiriamali na si Vibarua wakusubiriamwisho wa Mwezi, Entreprenershi Spirit hujengwa kuanzia Utotoni na Tafitinyingi sana zinasema kwamba Watoto ndo wana uwezekano mkubwa wa kuibuka kujakuwa wajasirimali wazuri kuliko watu wazima
SABABU ZILIZO TUFANYA WENGI WETU TUOGOPE BIASHARA KAMA UKOMA
1, Histrioa ya Nchi yetu/ Ujamaa na kujitegemea
Ujamaa mara nyingihufanya watu wawe legelege sana wakitegenea kila kitu kifanywe na Serikali,kama mtakumbuka kwenye theory za Ujamaa ni Serikali kuwa ndo wafanya biasharaso MADUKA YA USHIRIKA NA ZANI TUNAYAKUMBUKA, Ujamaa hufanya watu wasiwewabunifu sana
Na hilo linza zisumbua hata nchi Kubwa kama URUSI, ila Chinailiwahi kushitukia hii ishu
2. WAZAZI WETU
Wazazi wetu walituandaa kuwa Wafanya kazi natena kufanya kazi Benki, kuwa mameneja na kazalika, hii ilijengeka katikavichwa vyetu na tuliamini tunasoma ili tuwe na kazi nzuri nah ii ndo story zahadi leo hii na kesho,
CHUKULIA MFANO WAHINDI, Je usha waona watoto wa WAHINDIvyuoni wakisoma kozi za kama Community Development, Esducation, Socilogy nakazalika? WAHINDI WANASOMA Acounting, Marketing, PROCUREMENT, IT na kazalika nahii husoma ili wakawasaidie wazazi wao kuendesha biashara
3. MAZINGIRA TUNAPOISHI
Tunako ishi/Majirani zetu/Ndugu/Marafiki na kazalika naowamechangia sana, Nyumbani WAZAZI NI WAFANYA KAZI NA WANA FUATWA NA MAGARI,Majirani ni WAFANYA KAZI, Marafiki ni WAFANYAKAZI, Ndugu zetu ni WAFANYA KAZI,
Kwa staili hii ni vigumu sana motto kuja kuwa Mjasirimalimake amezengukwa na Wafanyakazi na wanamuhimiza asome ili aajiriwe
4. SHULENI/ELIMU YETU
Shuleni nako walimu walikuwa wanatusisitizia tusome tujekuwa mameneja, Tyulikuwa tunakaririshwa theory mabalimbali, hili lilichnagia
5. SEREKALI YETU
Imekaa kijamaa sana, haipromote wajasirimali
NJIA ZA KUWAFUNDISHA KIDS WAJE KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA
1. ANZA KUWAPA KAZI ZA KUWALIPA NYUMBANI
Unaweza ukawa unawapa watoto wako kazindogo ndogo then unawapa pesa, Usizoeekuwapa watoto pesa bila kufanya kazi,
Unaweza ukawa unawaachia baadhi ya kazi zakuwajenga kama vile, Kujenga Mabanda ya Mbwa, Kilima Bustani, Kufyeka, Kufuga kuku, kulisha kuku, kulisha ngo,ome, nakazalika, hii itawafanya watoto waanze wajifunze kujitegemea na kuwa na hari yakufanya kazi
2. WAFUNGULIE WATOTO ACOUNT BENKI
Na kiasi kidogo wanacho pata wawewanakiweka benki na wawe wanajishugulisha na account zao na waambie hizo accountni kwa ajili ya wao baadae waje kuzitumia kujitegemea kwa kiuanzisha biasharazao wenyewe
3. WAPE WATOTO MASHINDANO NYUMBANI
Unaweza ukawa unawapatia watoto Mahindanombalimbali wakawa wanayafanya na anaye shinda anakuwa anapatiwa fedha na mashindano hayo yawe ni ya kuwajengakuwa wabunifu.
- Kuchora picha
- Kuunda magari ya mabati
- Kudizaini vitu mbali mbali
- Kutunga hadith
- Kucheza
- Kutengeneza Bustani, kufuga kuku
Hii itawasaidia sanawatoto kuwa na ari kushindana na ya kufanya zaidi na mashindano ni bora yakawa yana egemeakwa kila mtu anataka nini
4. WAHAMASISHE WATOTO WAFUATE IDEA/NDOTO ZAO
Kama motto ndoto zake ni kuja kuwa Engenearbasi muache aaanze akiwa mdogo na usimurazimishe kufanya kinyume na hapo,
Kama mtoto anapendelea kufuga kuku basi afuge, kama ni ngo,ombe basi afuge
Wasaidie kufikia hapo, na Mtoto kamaanapenda kuwa Fundi anaweza anza kwa kutengeneza hata vifaa vya nyumbani thenvya majirani and then vya mtaa, na msaidie kuandaa muongozo wa biashara yake namambo mengine ikiwemo matangazo na kazalika.
5. WAFUNDISHE KUFANYA KAZI KAMA TEAM/KWA USHIRIKIANO
Mtoto mfundishe kufanya kazi kama teama nasi kivyake vyake, hii itamsaidia hata akija kuwa Mjasirimali ajue jinsi yakufanya kazi na watu wengine ikiwemo Wafanya biashara wenzake, wafanya kazi nakazalika
6. UWEPO ILI KUWAPA MSAADA
Pamoja na kwamba watoto watakuwawanajifunza Ujasirimali ikiwemo kufuga kuku, Kilima bustan, kutengeneza pas zamajirani zenu , kuchora na kazailika inabidi wewe uwepo kuwasaidia, kujibumaswari yao na kazalika, Wasaidie kutatiua matatizo wanaya kumbana nayo katikaharakati zao, MFANO Mtoto anaweza pata kazi ya kutengeneza pas ya Jirani thenakaharibu so msaidie na si kumgombeza au kumpiga
7. WAFUNDISHE JINSI YA KUNZISHA VITU VYAO WENYEWE
Wafundishe kutafuta mawazo ya biashara nakuyafanyia kazi,Wasiwe ni watoto wa kuiga kila kitu, wafundishe kuwa wabunifu
8. WAPELEKE ZIARA ZA KUTAZAMA KILE WANACHO PENDA KUFANYA MAISHANI NA SI KUWAPELEKA DISCO
Kama toto wako anapenda sana kazi za Ufundiwa Electonic basi mara moja moja mpeleke kw amafundu wakubwa akaone laivu,aongee nao na awaulize maswari
Kama toto wako anataka kuwa Mfugaji wa Kukubasi mpeleke kwa wafugaji wakubwa akajifunze na aone lavu
Kama ni Mchoraji mpeleke mara moja moja kwawachoraji wakubwa,
Hii itawajengea sana hamasa ya kujifunzazaidi, Mtoto akiwa na wazo la kuwa Mfuga kuku ukampeleka Interchic akaona kukuwalivyo wengi hakika ni lazima apate kichaa ca kusonga mbele
TATIZO WAZAZI TUNAWAPELEKA WATOTO AUTUNAWAACHA WATOTO WAENDE KUTEMBEA MAHALI AMBAPO SIO
9. WAONYESHE NA WEWE UJASIRIMALI WAKO
Ni vizuri na wewe mzazi ukawa niMjasirimali make kama ni mtu wa mwisho wa mwezi itakuwa ngumu kidogo, makewatoto wanataka waone kutoka kwako na si wawe wanakuona unaletwa na gari lenyaSU au STK au SM watakuuliza na wanaweza na wao wakapata hamasa ya kuja kupandahayo magari one day
10. WAPE STORY ZA WAJASIRIAMALI WAKUBWA
Watoto wapewe story za wajasirimali wakubwakatika Tanzania hii na Dunia kwa ujumla, hiii itawasaidia sana kuwajengakiaklili
11. WANUNULIE VITABU VYA BIASHARA/MOVE ZABIASHARA/GAME ZA BIASHARA
Watoto wawe wanatazama vipindi vinavyoendana na wanacho taka, kama motto ana taka kuwa mbunifu wa Nguo basi kunaMove,vipindi vya television,vitabu na Game mtafutie
12. WAPELEKA KWENYE MASHINDANO YA WATOTO YA VIPAJIVYAO KAMA YAPO
13. USIWAVUNJE MOYO KWA KUWAAMBIA KWAMBA HIKIHAKIWEZEKANI
Mtoto anaweza kuja na wazo la KufugaSungura, Muache afuge usimwambie kwamba huku hakuna anaye kula Sungura,
Mtoto anaweza kuja na Ubunifu wa kuchoraramani za MAKANISA, usimwambie kwamba hakuna makinisa hapa bali kuna misikiti,no muache afanye kile anacho penda
Kwa kumwabia haiwezekani utakuwa unamvunjasana moyo
14. WAPELEKE WATOTO WAKATEMBELEE WAJASIRIMALI WATOTOKAMA WAPO
Hii itakuwa ni jambo la msingi sana kamautawapeleka kutembelea watoto wenzao ambao nao ni wajasirimali
15. WARUHUSU WATOTO KUFANYA MAKOSA
Ni kosa kubwa sana kwa mzazi kumzuia motto wakeasiwe anafanya makosa, muache afanye makosa
16. WAFUNDISHE KUHUSU FAIDA NA HASARA
Wafundishe watoto faida ni nini, na hasarani nini, hii itawasaidia sana
17. WARUHUSU KUUZA KILE WANACHO FANYA
Kama motto anafuga njiwa nyumbani, basimwambie awe anauza hao Njiwa na wewe uwe una mfutilia kwa nyuma kuona anavyouza na kazalika,
Kama motto ni mpishi basi awe ana pikamandazi yake na kuyauza
18. RUHUSU MTOTO AWE ANATUMIA PESA KWA KILE ANACHOFANYA
Kama motto anafuga kuku na kawauza muacheatumie pesa hizo kwa anacho taka ni ulimuradi uwe umeisha mpatia elimu yakutosha ya biashara
19. BALANCE MAISHA YAO NA BIASHARA
Watoto wawe na muda wa kusoma elimu yakawaida na wawe na muda wa kufanya practical za business zao
WATOTO WAANZE KUELEZWA KWAMBA WANASOMA ILIWAJE KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA KABISA HAPA TANZANIA
NB: wazazi wengi sana huzania ile kuwa na House boy, house girl wa kufanya kila kitu na watoto kazi yao ni kucheza kutwa nzima ni kuwasaidia watoto, huwezi wasaidia watoto kwa kuwaletea Ma house boy na ma house girl, no ni lazima watoto wajifunze kwa vitenda, kama una mabanda ya Ng,ombe basi watoto wawe wanalisha ng,ombe mara mija moja,
Kama unashamba basi na wao waende Shambani na si mzazi kwenda shamba na kuwaacha watoto wakicheza kutwa nzima na kutazama MOVE ZA WAKINA ambazo haziwasaidii chochote kile katika maisha yao
Wana janvi ni ukweli usiopingika kwamba, SUCCESSIFUL ISGENERTIC, na Njia za kuanza Ujasirimali mara nyingi huanzia mbali sana,
Na kwa sisi huku Bongo leo hii tungekuwa mbali sana kamaWazazi wetu wangetuandaa kuja kuwa Wajasiriamali na si Vibarua wakusubiriamwisho wa Mwezi, Entreprenershi Spirit hujengwa kuanzia Utotoni na Tafitinyingi sana zinasema kwamba Watoto ndo wana uwezekano mkubwa wa kuibuka kujakuwa wajasirimali wazuri kuliko watu wazima
SABABU ZILIZO TUFANYA WENGI WETU TUOGOPE BIASHARA KAMA UKOMA
1, Histrioa ya Nchi yetu/ Ujamaa na kujitegemea
Ujamaa mara nyingihufanya watu wawe legelege sana wakitegenea kila kitu kifanywe na Serikali,kama mtakumbuka kwenye theory za Ujamaa ni Serikali kuwa ndo wafanya biasharaso MADUKA YA USHIRIKA NA ZANI TUNAYAKUMBUKA, Ujamaa hufanya watu wasiwewabunifu sana
Na hilo linza zisumbua hata nchi Kubwa kama URUSI, ila Chinailiwahi kushitukia hii ishu
2. WAZAZI WETU
Wazazi wetu walituandaa kuwa Wafanya kazi natena kufanya kazi Benki, kuwa mameneja na kazalika, hii ilijengeka katikavichwa vyetu na tuliamini tunasoma ili tuwe na kazi nzuri nah ii ndo story zahadi leo hii na kesho,
CHUKULIA MFANO WAHINDI, Je usha waona watoto wa WAHINDIvyuoni wakisoma kozi za kama Community Development, Esducation, Socilogy nakazalika? WAHINDI WANASOMA Acounting, Marketing, PROCUREMENT, IT na kazalika nahii husoma ili wakawasaidie wazazi wao kuendesha biashara
3. MAZINGIRA TUNAPOISHI
Tunako ishi/Majirani zetu/Ndugu/Marafiki na kazalika naowamechangia sana, Nyumbani WAZAZI NI WAFANYA KAZI NA WANA FUATWA NA MAGARI,Majirani ni WAFANYA KAZI, Marafiki ni WAFANYAKAZI, Ndugu zetu ni WAFANYA KAZI,
Kwa staili hii ni vigumu sana motto kuja kuwa Mjasirimalimake amezengukwa na Wafanyakazi na wanamuhimiza asome ili aajiriwe
4. SHULENI/ELIMU YETU
Shuleni nako walimu walikuwa wanatusisitizia tusome tujekuwa mameneja, Tyulikuwa tunakaririshwa theory mabalimbali, hili lilichnagia
5. SEREKALI YETU
Imekaa kijamaa sana, haipromote wajasirimali
NJIA ZA KUWAFUNDISHA KIDS WAJE KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA
1. ANZA KUWAPA KAZI ZA KUWALIPA NYUMBANI
Unaweza ukawa unawapa watoto wako kazindogo ndogo then unawapa pesa, Usizoeekuwapa watoto pesa bila kufanya kazi,
Unaweza ukawa unawaachia baadhi ya kazi zakuwajenga kama vile, Kujenga Mabanda ya Mbwa, Kilima Bustani, Kufyeka, Kufuga kuku, kulisha kuku, kulisha ngo,ome, nakazalika, hii itawafanya watoto waanze wajifunze kujitegemea na kuwa na hari yakufanya kazi
2. WAFUNGULIE WATOTO ACOUNT BENKI
Na kiasi kidogo wanacho pata wawewanakiweka benki na wawe wanajishugulisha na account zao na waambie hizo accountni kwa ajili ya wao baadae waje kuzitumia kujitegemea kwa kiuanzisha biasharazao wenyewe
3. WAPE WATOTO MASHINDANO NYUMBANI
Unaweza ukawa unawapatia watoto Mahindanombalimbali wakawa wanayafanya na anaye shinda anakuwa anapatiwa fedha na mashindano hayo yawe ni ya kuwajengakuwa wabunifu.
- Kuchora picha
- Kuunda magari ya mabati
- Kudizaini vitu mbali mbali
- Kutunga hadith
- Kucheza
- Kutengeneza Bustani, kufuga kuku
Hii itawasaidia sanawatoto kuwa na ari kushindana na ya kufanya zaidi na mashindano ni bora yakawa yana egemeakwa kila mtu anataka nini
4. WAHAMASISHE WATOTO WAFUATE IDEA/NDOTO ZAO
Kama motto ndoto zake ni kuja kuwa Engenearbasi muache aaanze akiwa mdogo na usimurazimishe kufanya kinyume na hapo,
Kama mtoto anapendelea kufuga kuku basi afuge, kama ni ngo,ombe basi afuge
Wasaidie kufikia hapo, na Mtoto kamaanapenda kuwa Fundi anaweza anza kwa kutengeneza hata vifaa vya nyumbani thenvya majirani and then vya mtaa, na msaidie kuandaa muongozo wa biashara yake namambo mengine ikiwemo matangazo na kazalika.
5. WAFUNDISHE KUFANYA KAZI KAMA TEAM/KWA USHIRIKIANO
Mtoto mfundishe kufanya kazi kama teama nasi kivyake vyake, hii itamsaidia hata akija kuwa Mjasirimali ajue jinsi yakufanya kazi na watu wengine ikiwemo Wafanya biashara wenzake, wafanya kazi nakazalika
6. UWEPO ILI KUWAPA MSAADA
Pamoja na kwamba watoto watakuwawanajifunza Ujasirimali ikiwemo kufuga kuku, Kilima bustan, kutengeneza pas zamajirani zenu , kuchora na kazailika inabidi wewe uwepo kuwasaidia, kujibumaswari yao na kazalika, Wasaidie kutatiua matatizo wanaya kumbana nayo katikaharakati zao, MFANO Mtoto anaweza pata kazi ya kutengeneza pas ya Jirani thenakaharibu so msaidie na si kumgombeza au kumpiga
7. WAFUNDISHE JINSI YA KUNZISHA VITU VYAO WENYEWE
Wafundishe kutafuta mawazo ya biashara nakuyafanyia kazi,Wasiwe ni watoto wa kuiga kila kitu, wafundishe kuwa wabunifu
8. WAPELEKE ZIARA ZA KUTAZAMA KILE WANACHO PENDA KUFANYA MAISHANI NA SI KUWAPELEKA DISCO
Kama toto wako anapenda sana kazi za Ufundiwa Electonic basi mara moja moja mpeleke kw amafundu wakubwa akaone laivu,aongee nao na awaulize maswari
Kama toto wako anataka kuwa Mfugaji wa Kukubasi mpeleke kwa wafugaji wakubwa akajifunze na aone lavu
Kama ni Mchoraji mpeleke mara moja moja kwawachoraji wakubwa,
Hii itawajengea sana hamasa ya kujifunzazaidi, Mtoto akiwa na wazo la kuwa Mfuga kuku ukampeleka Interchic akaona kukuwalivyo wengi hakika ni lazima apate kichaa ca kusonga mbele
TATIZO WAZAZI TUNAWAPELEKA WATOTO AUTUNAWAACHA WATOTO WAENDE KUTEMBEA MAHALI AMBAPO SIO
9. WAONYESHE NA WEWE UJASIRIMALI WAKO
Ni vizuri na wewe mzazi ukawa niMjasirimali make kama ni mtu wa mwisho wa mwezi itakuwa ngumu kidogo, makewatoto wanataka waone kutoka kwako na si wawe wanakuona unaletwa na gari lenyaSU au STK au SM watakuuliza na wanaweza na wao wakapata hamasa ya kuja kupandahayo magari one day
10. WAPE STORY ZA WAJASIRIAMALI WAKUBWA
Watoto wapewe story za wajasirimali wakubwakatika Tanzania hii na Dunia kwa ujumla, hiii itawasaidia sana kuwajengakiaklili
11. WANUNULIE VITABU VYA BIASHARA/MOVE ZABIASHARA/GAME ZA BIASHARA
Watoto wawe wanatazama vipindi vinavyoendana na wanacho taka, kama motto ana taka kuwa mbunifu wa Nguo basi kunaMove,vipindi vya television,vitabu na Game mtafutie
12. WAPELEKA KWENYE MASHINDANO YA WATOTO YA VIPAJIVYAO KAMA YAPO
13. USIWAVUNJE MOYO KWA KUWAAMBIA KWAMBA HIKIHAKIWEZEKANI
Mtoto anaweza kuja na wazo la KufugaSungura, Muache afuge usimwambie kwamba huku hakuna anaye kula Sungura,
Mtoto anaweza kuja na Ubunifu wa kuchoraramani za MAKANISA, usimwambie kwamba hakuna makinisa hapa bali kuna misikiti,no muache afanye kile anacho penda
Kwa kumwabia haiwezekani utakuwa unamvunjasana moyo
14. WAPELEKE WATOTO WAKATEMBELEE WAJASIRIMALI WATOTOKAMA WAPO
Hii itakuwa ni jambo la msingi sana kamautawapeleka kutembelea watoto wenzao ambao nao ni wajasirimali
15. WARUHUSU WATOTO KUFANYA MAKOSA
Ni kosa kubwa sana kwa mzazi kumzuia motto wakeasiwe anafanya makosa, muache afanye makosa
16. WAFUNDISHE KUHUSU FAIDA NA HASARA
Wafundishe watoto faida ni nini, na hasarani nini, hii itawasaidia sana
17. WARUHUSU KUUZA KILE WANACHO FANYA
Kama motto anafuga njiwa nyumbani, basimwambie awe anauza hao Njiwa na wewe uwe una mfutilia kwa nyuma kuona anavyouza na kazalika,
Kama motto ni mpishi basi awe ana pikamandazi yake na kuyauza
18. RUHUSU MTOTO AWE ANATUMIA PESA KWA KILE ANACHOFANYA
Kama motto anafuga kuku na kawauza muacheatumie pesa hizo kwa anacho taka ni ulimuradi uwe umeisha mpatia elimu yakutosha ya biashara
19. BALANCE MAISHA YAO NA BIASHARA
Watoto wawe na muda wa kusoma elimu yakawaida na wawe na muda wa kufanya practical za business zao
WATOTO WAANZE KUELEZWA KWAMBA WANASOMA ILIWAJE KUWA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA KABISA HAPA TANZANIA
NB: wazazi wengi sana huzania ile kuwa na House boy, house girl wa kufanya kila kitu na watoto kazi yao ni kucheza kutwa nzima ni kuwasaidia watoto, huwezi wasaidia watoto kwa kuwaletea Ma house boy na ma house girl, no ni lazima watoto wajifunze kwa vitenda, kama una mabanda ya Ng,ombe basi watoto wawe wanalisha ng,ombe mara mija moja,
Kama unashamba basi na wao waende Shambani na si mzazi kwenda shamba na kuwaacha watoto wakicheza kutwa nzima na kutazama MOVE ZA WAKINA ambazo haziwasaidii chochote kile katika maisha yao