Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Jana mashabiki wamepaza sauti zao baada ya sare na KMC, makelele mengi yalikuwa ni kumkataa Selemani Matola kwa madai anaihujumu timu, wengine walifikia hatua ya kutaka kumpiga hadi inasemekana akaokolewa na mabaunsa, wengine walimrushia makopo beki wa kulia Israel mwenda na Pape Sakho.
Tatizo la Simba mashabiki maandazi hawajalijua, shida ya Simba iko kwenye uongozi, maelewano hakuna, kuna wanaodai kudharauliwa, kuna wanaojiona wana hela, hivyo hawawezi kushauriwa na maskini, wale wanaodharauliwa ktk bodi ndio wanachomesha mahindi kwa kushirikiana na wajinga wajinga wengine nje ya timu.
Kuna watu wao bila Simba maisha hayaendi, sasa wamebanwa na huyo dada CEO, hakitoki kitu bila utaratibu, hao wamepanga kuiua tena Simba dhidi ya Yanga. Mnaopanga kwenda kuiangalia Simba dhidi ya Yanga hapo Oktoba nawashauri acheni hiyo, endeleeni na shughuli zenu, vinginevyo hamtaamini macho yenu.
Njia ya sasa ya kutukana na kurushia watu makopo haisaidii, hao viongozi mbona mnawaacha. Wao hawaumiii hata kidogo, ndio kwanza wanafurahia maisha, wewe ulietoka Mbagala povu linakutoka, njia pekee ya kuwaadabisha hao viongozi ni moja tu, waende wao na familia zao uwanjani, kwa hali tuliyofikia hapana. Njia ya kutukana ama kurusha makopo utatesa ndugu zako kwa kupata kesi ya jinai.
Tatizo la Simba mashabiki maandazi hawajalijua, shida ya Simba iko kwenye uongozi, maelewano hakuna, kuna wanaodai kudharauliwa, kuna wanaojiona wana hela, hivyo hawawezi kushauriwa na maskini, wale wanaodharauliwa ktk bodi ndio wanachomesha mahindi kwa kushirikiana na wajinga wajinga wengine nje ya timu.
Kuna watu wao bila Simba maisha hayaendi, sasa wamebanwa na huyo dada CEO, hakitoki kitu bila utaratibu, hao wamepanga kuiua tena Simba dhidi ya Yanga. Mnaopanga kwenda kuiangalia Simba dhidi ya Yanga hapo Oktoba nawashauri acheni hiyo, endeleeni na shughuli zenu, vinginevyo hamtaamini macho yenu.
Njia ya sasa ya kutukana na kurushia watu makopo haisaidii, hao viongozi mbona mnawaacha. Wao hawaumiii hata kidogo, ndio kwanza wanafurahia maisha, wewe ulietoka Mbagala povu linakutoka, njia pekee ya kuwaadabisha hao viongozi ni moja tu, waende wao na familia zao uwanjani, kwa hali tuliyofikia hapana. Njia ya kutukana ama kurusha makopo utatesa ndugu zako kwa kupata kesi ya jinai.