MR LINKO JF-Expert Member Joined Aug 20, 2016 Posts 3,034 Reaction score 3,526 Nov 18, 2016 #1 Nimekaa kwa muda mrefu sana nikawaza ni njia zipi huwa zinatumika kupima ini na figo za uhakikaa maana nataka nikacheck afya yangu kwakweli maana naona dalili za ajabu ajabu.
Nimekaa kwa muda mrefu sana nikawaza ni njia zipi huwa zinatumika kupima ini na figo za uhakikaa maana nataka nikacheck afya yangu kwakweli maana naona dalili za ajabu ajabu.
R Mbuna JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 2,283 Reaction score 5,371 Nov 18, 2016 #2 Ngoja wataalamu waje hata nataka kujifunza hapa.
kidadari JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 8,647 Reaction score 9,604 Nov 18, 2016 #3 nzuri kujua
M man lesha Member Joined Nov 20, 2011 Posts 61 Reaction score 9 Dec 14, 2016 #4 Kapime Creatine ,Urea...ni vpimo vya damu tu vinaangalia utendaji wa kazi ya figo