Njian nzuri ni ipi?

Berlin storm

Member
Joined
Feb 6, 2023
Posts
60
Reaction score
38
Jaman Bado nateseka Hali yangu inazid kuwa mbaya juzi nimetokewa na malenge lenge kat ya mapaja na chini ya korodan panazidi kuwa peusiii mno Kila nikipak detoll panakauka na mangoz yanabanduka na maumiv makal mno nikitembea ni kama nachwanwa korodan msaada jaman😭😭😭😭
 
Tulia andika vizuri na chanzo chake ili madokta wa huku waweze kukusaidia. Ukieleza hivi wanaweza anza kutibu akili kabla ya kutibu mbupu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nenda hospitali haupo serious
 
Pima HIV
 
Shem tukiwa pale.... Bar alivyoenda Msalan NIlikwambia Shoga yangu Mgonjwa hukuniskia angalia sasa unavyoteseka[emoji1][emoji2] Ukakazani kula Kavu kavu na Mwezio alinihadisia eti unapiga Dek(Unajifanya Fundi))

Acha hayo mambo ndugu namwonea Huruma Mke wako na UJAUZITO ule JAMAN[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]

Heps so mchezo Acha tu akuuguze ila siku nyingine Ukipewa USHAURI UUFANYIE KAZI[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Unazungumza kama hauna kichw sijui unajiskia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…