Nilijua tu matomaso hamkosekani!Nje ya mada,
Hizo kucha ulikata na Kisu?
Ni kampuni gani mkuuHizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!
Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!
Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!
Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
labda ni kampuni mpya na ni toleo la kwanza πVinasumbua next time ntapost na kasha lake muijue brand
ππKilegevu na chembamba balaa sijui shida nini? Au ni kutoka ghetto industrylab
labda ni kampuni mpya na ni toleo la kwanza π
Bilashaka watakua wamepata feedback kutoka kwa wateja wao ikiwa ni pamoja na wew.
Let's wait and see, tuwape mda kidogo as long as kinawasha moto japo kilegevu kama vile hakina pumz π
maybe kiwanda nyumbani πππKilegevu na chembamba balaa sijui shida nini? Au ni kutoka ghetto industry
Hatimaye kasha lake nimelipata ilo hapoHizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!
Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!
Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!
Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
Ungeweka na kasha lake
Kasha lake ilo nimelipata yaani wanazingua balaaHizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!
Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!
Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!
Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.