Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiria kwanza kabla hujaweka hii. International airports zinawekwa strategicaly si kuota kama uyoga
Umenikumbusha ChatoFikiria kwanza kabla hujaweka hii. International airports zinawekwa strategicaly si kuota kama uyoga
Dodoma ni makao makuu, kunatakiwa kuwe na airport kubwa kuliko zote... Njombe kuwa jiji soonNjombe kuwe na International Airport? Ya nini?
Kwa nini kusiwe na kiwanja cha kawaida tu??
Hiyo Dodoma yenyewe International Aiport tume force tu maana pale unaweka International Aiport ili iweje?
Kimsingi tulitakiwa tuwe na International Aiport 3 tu. Dar es Salaam tena kutokana na muingiliano wa Biashara, Kilimanjaro kutokana na Utalii na Zanzibar pia Utalii??
Wageni wa Kimataifa waende Dodoma au Njombe kufanya nini? Kula maparachichi na zabibu?
Nani kakwambia Makao Makuu ndo inatakiwa kuwa na Airport kubwa kuliko zote?Dodoma ni makao makuu, kunatakiwa kuwe na airport kubwa kuliko zote... Njombe kuwa jiji soon
Sio kwa International AirportJitahidi kuona mbali huta jikwaa
Sioni tatizo lolote lile kwa Njombe kuwa na International airport, Bali naziona faida nyingi zaidi.
Dodoma inajengwa msalato tayari, njombe ina mapato makubwa kuliko Dodoma, na wafanyabiashara wanaoingia njombe ni wengi mnoDodoma ni makao makuu, kunatakiwa kuwe na airport kubwa kuliko zote... Njombe kuwa jiji soon
Mamaeee.....Umenikumbusha Chato
Nafikiri ni kwa sababu ya cargoNjombe kuwe na International Airport? Ya nini?
Kwa nini kusiwe na kiwanja cha kawaida tu??
Hiyo Dodoma yenyewe International Aiport tume force tu maana pale unaweka International Aiport ili iweje?
Kimsingi tulitakiwa tuwe na International Aiport 3 tu. Dar es Salaam tena kutokana na muingiliano wa Biashara, Kilimanjaro kutokana na Utalii na Zanzibar pia Utalii??
Wageni wa Kimataifa waende Dodoma au Njombe kufanya nini? Kula maparachichi na zabibu?