Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkoa wa Njombe ni mmojawapo kati ya mikoa mipya nchini Tanzania wenye postikodi namba 59000, ukiwa ulianzishwa rasmi mwaka 2012. Unapakana na mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya, na Iringa.
Kutokana na hadhi mpya, Wilaya ya Njombe iligawanyika kati ya Njombe Mjini na Njombe Vijijini. Pia, mwezi Machi 2012, Wilaya ya Wanging'ombe ilianzishwa rasmi.
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Njombe ni 889,946; wanaume wakiwa 420,533 na wanawake 469,413.
Mkoa wa Njombe una majimbo sita (6) ya uchaguzi, ambapo Jimbo la Wanging'ombe linaongoza kwa kuwa na watu wengi (191,506), likifuatiwa na Jimbo la Njombe Mjini (182,127). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Ludewa lenye watu 109,160.
Soma Pia:
- Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Jimbo la Wanging'ombe
- Watu: 191,506 (Wanaume: 89,655, Wanawake: 101,851)
- Watu: 182,127 (Wanaume: 86,333, Wanawake: 95,794)
- Watu: 146,481 (Wanaume: 67,876, Wanawake: 78,605)
- Watu: 151,361 (Wanaume: 72,445, Wanawake: 78,916)
- Watu: 109,160 (Wanaume: 52,180, Wanawake: 56,980)
- Watu: 109,311 (Wanaume: 52,044, Wanawake: 57,267)
Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa mikoa ambayo majimbo, Kata, Mitaa, Vijiji na Vitongoji vimemekuwa vikishikiliwa zaidi na Chama cha Mapinduzi ( CCM ) hata ukilinganisha katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika majimbo sita yanilibebwa na wabunge wa CCM. Njombe Kaskazini: Ndugu Joram Hongoli (CCM) Njombe Kusini: Edward Mwalongo (CCM), Makambako: Ndugu Deo Kasenytenbda Sanga (CCM),Wanging'ombe: Nduguy Gerson Hosea Lwenge (CCM),Makete: Norman Adamson Sigalla (CCM)
JANUARI
FEBRUARI
- Pre GE2025 Aliyewahi kuwa Mbunge wa Lupembe: Ubunge sio kujua kusoma na kuandika pekee. Ni lazima ujue Kiingereza na sheria. Kutunga sheria ni kazi ngumu
- Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Njombe: Kuna wanasiasa wameifanya Tanzania kama Gheto. Wanavuruga amani alafu kesho anakata tiketi anaondoka!