Njombe: Mtoto Mmoja kupewa Baba Wanne, Mfumo wa Kutoa Kadi Kidigitali utapunguza hii, Waziri Mama Gwajima naomba utazame hili

Njombe: Mtoto Mmoja kupewa Baba Wanne, Mfumo wa Kutoa Kadi Kidigitali utapunguza hii, Waziri Mama Gwajima naomba utazame hili

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
My take: Ni ajabu na ni kweli mtoto mmoja kuwa na Wababa zaidi ya Mmoja. Wenyewe wanasema Wanawake ambao hufanya hivi lengo lao ni kupata Maokoto kutoka kwa Wababa wengi ilhali anajua mhusika ni mmoja

Na hii ni kwasababu mtu ukishapewa kadi unajua Mtoto ni wako

Njia moja ya kuepusha haya huko mbeleni ni kuwa na Mfumo wa Utoaji Kadi wa Kiditali. Yaani Mjamzito akishasajiliwa na kupewa kadi hawezi kusajiliwa tena kwenye Kituo Kingine cha Afya kwasababu database ina rekodi zake tayari

Kujiandikisha manually ndiko kunakotengeneza udanganyifu

Mama Gwajima tunalileta hili mikononi mwako, tunaomba uone namna ya kutatutua Changamoto hii

............

Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi wanaume ili waweze kusaidia kwenye malezi ya mtoto.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia Hyera kwenye kikao cha utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) inayotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la UWODO kwa kushirikiana na serikali.

Felisia ametoa wito wanawake kuwa waaminifu ili kutengeneza familia bora kwa kuwa wengi wanaofanya hivyo hutokana na kushindwa kukubaliana na uhalisia wa mimba walizobeba hali inayopelekea mtoto kuanza kuyumbishwa tangu akiwa tumboni kwa mama.

"Siku zote huwa tunasisitiza mjamzito afike kliniki akiwa na ujauzito wa chini ya miezi mitatu na hausemi lazima uende kituo x, sasa mama huyu akifika ambapo mimi nipo nitamfungulia kadi lakini hatujui mama huyu wakati wa makuzi yake ilikuwaje anaamua kwenda kituo kingine, tena kule nako watampa kadi nyingine na kama bado hajatimiza akina baba aliokuwa nao atajitahidi kwenda kwenye vituo kulingana na idadi ya wababa alionao" Amesema Felisia.

Awali Godfrey Kiowi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alieleza namna wanavyokutana na kesi ya mtoto mmoja kuwa na baba wanne huku akiomba serikali kuona namna ya kubadili mfumo wa upatikanaji wa kadi za watoto.

"Hizi kesi tunakutana nazo huko mtaani mtoto mmoja ana baba wanne lakini pia ukija kufuatilia kila baba amepewa kadi yake na kila baba anatoa huduma kwa muda wake halafu kesho linaibuka kila baba anasema mtoto ni wa kwake" Amesema Kiowi.

Kwa upande wake Hamis Kassapa ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la UWODO amesema katika kikao walichokaa na wataalamu mbalimbali wameweza kuwajengea uwezo juu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kwenda kuendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali za watoto kwenye makuzi

Aidha amehimiza wazazi na walezi kutenga muda wa kukaa na watoto na kuwajenga kwenye ulinzi pamoja na afya ili waweze kuwa na afya wakati wa makuzi yao.

Chanzo: Jambo Tv
 
My take: Ni ajabu na ni kweli mtoto mmoja kuwa na Wababa zaidi ya Mmoja. Wenyewe wanasema Wanawake ambao hufanya hivi lengo lao ni kupata Maokoto kutoka kwa Wababa wengi ilhali anajua mhusika ni mmoja

Na hii ni kwasababu mtu ukishapewa kadi unajua Mtoto ni wako

Njia moja ya kuepusha haya huko mbeleni ni kuwa na Mfumo wa Utoaji Kadi wa Kiditali. Yaani Mjamzito akishasajiliwa na kupewa kadi hawezi kusajiliwa tena kwenye Kituo Kingine cha Afya kwasababu database ina rekodi zake tayari

Kujiandikisha manually ndiko kunakotengeneza udanganyifu

Mama Gwajima tunalileta hili mikononi mwako, tunaomba uone namna ya kutatutua Changamoto hii

............


Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi wanaume ili waweze kusaidia kwenye malezi ya mtoto.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia Hyera kwenye kikao cha utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) inayotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la UWODO kwa kushirikiana na serikali.

Felisia ametoa wito wanawake kuwa waaminifu ili kutengeneza familia bora kwa kuwa wengi wanaofanya hivyo hutokana na kushindwa kukubaliana na uhalisia wa mimba walizobeba hali inayopelekea mtoto kuanza kuyumbishwa tangu akiwa tumboni kwa mama.

"Siku zote huwa tunasisitiza mjamzito afike kliniki akiwa na ujauzito wa chini ya miezi mitatu na hausemi lazima uende kituo x, sasa mama huyu akifika ambapo mimi nipo nitamfungulia kadi lakini hatujui mama huyu wakati wa makuzi yake ilikuwaje anaamua kwenda kituo kingine, tena kule nako watampa kadi nyingine na kama bado hajatimiza akina baba aliokuwa nao atajitahidi kwenda kwenye vituo kulingana na idadi ya wababa alionao" Amesema Felisia.

Awali Godfrey Kiowi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alieleza namna wanavyokutana na kesi ya mtoto mmoja kuwa na baba wanne huku akiomba serikali kuona namna ya kubadili mfumo wa upatikanaji wa kadi za watoto.

"Hizi kesi tunakutana nazo huko mtaani mtoto mmoja ana baba wanne lakini pia ukija kufuatilia kila baba amepewa kadi yake na kila baba anatoa huduma kwa muda wake halafu kesho linaibuka kila baba anasema mtoto ni wa kwake" Amesema Kiowi.

Kwa upande wake Hamis Kassapa ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la UWODO amesema katika kikao walichokaa na wataalamu mbalimbali wameweza kuwajengea uwezo juu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kwenda kuendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali za watoto kwenye makuzi

Aidha amehimiza wazazi na walezi kutenga muda wa kukaa na watoto na kuwajenga kwenye ulinzi pamoja na afya ili waweze kuwa na afya wakati wa makuzi yao.

Chanzo: Jambo Tv
Wanawake bhana
 
My take: Ni ajabu na ni kweli mtoto mmoja kuwa na Wababa zaidi ya Mmoja. Wenyewe wanasema Wanawake ambao hufanya hivi lengo lao ni kupata Maokoto kutoka kwa Wababa wengi ilhali anajua mhusika ni mmoja

Na hii ni kwasababu mtu ukishapewa kadi unajua Mtoto ni wako

Njia moja ya kuepusha haya huko mbeleni ni kuwa na Mfumo wa Utoaji Kadi wa Kiditali. Yaani Mjamzito akishasajiliwa na kupewa kadi hawezi kusajiliwa tena kwenye Kituo Kingine cha Afya kwasababu database ina rekodi zake tayari

Kujiandikisha manually ndiko kunakotengeneza udanganyifu

Mama Gwajima tunalileta hili mikononi mwako, tunaomba uone namna ya kutatutua Changamoto hii

............

Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi wanaume ili waweze kusaidia kwenye malezi ya mtoto.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia Hyera kwenye kikao cha utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) inayotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la UWODO kwa kushirikiana na serikali.

Felisia ametoa wito wanawake kuwa waaminifu ili kutengeneza familia bora kwa kuwa wengi wanaofanya hivyo hutokana na kushindwa kukubaliana na uhalisia wa mimba walizobeba hali inayopelekea mtoto kuanza kuyumbishwa tangu akiwa tumboni kwa mama.

"Siku zote huwa tunasisitiza mjamzito afike kliniki akiwa na ujauzito wa chini ya miezi mitatu na hausemi lazima uende kituo x, sasa mama huyu akifika ambapo mimi nipo nitamfungulia kadi lakini hatujui mama huyu wakati wa makuzi yake ilikuwaje anaamua kwenda kituo kingine, tena kule nako watampa kadi nyingine na kama bado hajatimiza akina baba aliokuwa nao atajitahidi kwenda kwenye vituo kulingana na idadi ya wababa alionao" Amesema Felisia.

Awali Godfrey Kiowi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alieleza namna wanavyokutana na kesi ya mtoto mmoja kuwa na baba wanne huku akiomba serikali kuona namna ya kubadili mfumo wa upatikanaji wa kadi za watoto.

"Hizi kesi tunakutana nazo huko mtaani mtoto mmoja ana baba wanne lakini pia ukija kufuatilia kila baba amepewa kadi yake na kila baba anatoa huduma kwa muda wake halafu kesho linaibuka kila baba anasema mtoto ni wa kwake" Amesema Kiowi.

Kwa upande wake Hamis Kassapa ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la UWODO amesema katika kikao walichokaa na wataalamu mbalimbali wameweza kuwajengea uwezo juu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kwenda kuendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali za watoto kwenye makuzi

Aidha amehimiza wazazi na walezi kutenga muda wa kukaa na watoto na kuwajenga kwenye ulinzi pamoja na afya ili waweze kuwa na afya wakati wa makuzi yao.

Chanzo: Jambo Tv
DNA ndiyo Dawa pekee ya kuepuka huu udanganyifu!!
 
My take: Ni ajabu na ni kweli mtoto mmoja kuwa na Wababa zaidi ya Mmoja. Wenyewe wanasema Wanawake ambao hufanya hivi lengo lao ni kupata Maokoto kutoka kwa Wababa wengi ilhali anajua mhusika ni mmoja

Na hii ni kwasababu mtu ukishapewa kadi unajua Mtoto ni wako

Njia moja ya kuepusha haya huko mbeleni ni kuwa na Mfumo wa Utoaji Kadi wa Kiditali. Yaani Mjamzito akishasajiliwa na kupewa kadi hawezi kusajiliwa tena kwenye Kituo Kingine cha Afya kwasababu database ina rekodi zake tayari

Kujiandikisha manually ndiko kunakotengeneza udanganyifu

Mama Gwajima tunalileta hili mikononi mwako, tunaomba uone namna ya kutatutua Changamoto hii

............

Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi wanaume ili waweze kusaidia kwenye malezi ya mtoto.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia Hyera kwenye kikao cha utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) inayotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la UWODO kwa kushirikiana na serikali.

Felisia ametoa wito wanawake kuwa waaminifu ili kutengeneza familia bora kwa kuwa wengi wanaofanya hivyo hutokana na kushindwa kukubaliana na uhalisia wa mimba walizobeba hali inayopelekea mtoto kuanza kuyumbishwa tangu akiwa tumboni kwa mama.

"Siku zote huwa tunasisitiza mjamzito afike kliniki akiwa na ujauzito wa chini ya miezi mitatu na hausemi lazima uende kituo x, sasa mama huyu akifika ambapo mimi nipo nitamfungulia kadi lakini hatujui mama huyu wakati wa makuzi yake ilikuwaje anaamua kwenda kituo kingine, tena kule nako watampa kadi nyingine na kama bado hajatimiza akina baba aliokuwa nao atajitahidi kwenda kwenye vituo kulingana na idadi ya wababa alionao" Amesema Felisia.

Awali Godfrey Kiowi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alieleza namna wanavyokutana na kesi ya mtoto mmoja kuwa na baba wanne huku akiomba serikali kuona namna ya kubadili mfumo wa upatikanaji wa kadi za watoto.

"Hizi kesi tunakutana nazo huko mtaani mtoto mmoja ana baba wanne lakini pia ukija kufuatilia kila baba amepewa kadi yake na kila baba anatoa huduma kwa muda wake halafu kesho linaibuka kila baba anasema mtoto ni wa kwake" Amesema Kiowi.

Kwa upande wake Hamis Kassapa ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la UWODO amesema katika kikao walichokaa na wataalamu mbalimbali wameweza kuwajengea uwezo juu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kwenda kuendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali za watoto kwenye makuzi

Aidha amehimiza wazazi na walezi kutenga muda wa kukaa na watoto na kuwajenga kwenye ulinzi pamoja na afya ili waweze kuwa na afya wakati wa makuzi yao.

Chanzo: Jambo Tv
Mwanaume ukishapata io kadi ya mtoto hakikisha unamtengenezea cheti cha kuzaliwa uyo mtoto haraka iwezekanavyo na kama umeajiriwa mtengenezee na bima ya afya kwa kutumia icho cheti cha kuzaliwa kisha subiri izo drama zake ili aje akulipe gharama zote na fidia au akuachie mtoto. NB: Fanya haya ikiwa unaona kabisa kuna viashiria kwamba mtoto ni wako
 
My take: Ni ajabu na ni kweli mtoto mmoja kuwa na Wababa zaidi ya Mmoja. Wenyewe wanasema Wanawake ambao hufanya hivi lengo lao ni kupata Maokoto kutoka kwa Wababa wengi ilhali anajua mhusika ni mmoja

Na hii ni kwasababu mtu ukishapewa kadi unajua Mtoto ni wako

Njia moja ya kuepusha haya huko mbeleni ni kuwa na Mfumo wa Utoaji Kadi wa Kiditali. Yaani Mjamzito akishasajiliwa na kupewa kadi hawezi kusajiliwa tena kwenye Kituo Kingine cha Afya kwasababu database ina rekodi zake tayari

Kujiandikisha manually ndiko kunakotengeneza udanganyifu

Mama Gwajima tunalileta hili mikononi mwako, tunaomba uone namna ya kutatutua Changamoto hii

............

Ili kuimarisha makuzi na malezi ya watoto na kutengeneza kizazi salama,wanawake wametakiwa kuacha kuwatumia watoto kama biashara kwa kutengeneza kadi zaidi ya moja na kuwakabidhi wanaume ili waweze kusaidia kwenye malezi ya mtoto.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Afya ya Uzazi na Huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia Hyera kwenye kikao cha utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) inayotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la UWODO kwa kushirikiana na serikali.

Felisia ametoa wito wanawake kuwa waaminifu ili kutengeneza familia bora kwa kuwa wengi wanaofanya hivyo hutokana na kushindwa kukubaliana na uhalisia wa mimba walizobeba hali inayopelekea mtoto kuanza kuyumbishwa tangu akiwa tumboni kwa mama.

"Siku zote huwa tunasisitiza mjamzito afike kliniki akiwa na ujauzito wa chini ya miezi mitatu na hausemi lazima uende kituo x, sasa mama huyu akifika ambapo mimi nipo nitamfungulia kadi lakini hatujui mama huyu wakati wa makuzi yake ilikuwaje anaamua kwenda kituo kingine, tena kule nako watampa kadi nyingine na kama bado hajatimiza akina baba aliokuwa nao atajitahidi kwenda kwenye vituo kulingana na idadi ya wababa alionao" Amesema Felisia.

Awali Godfrey Kiowi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alieleza namna wanavyokutana na kesi ya mtoto mmoja kuwa na baba wanne huku akiomba serikali kuona namna ya kubadili mfumo wa upatikanaji wa kadi za watoto.

"Hizi kesi tunakutana nazo huko mtaani mtoto mmoja ana baba wanne lakini pia ukija kufuatilia kila baba amepewa kadi yake na kila baba anatoa huduma kwa muda wake halafu kesho linaibuka kila baba anasema mtoto ni wa kwake" Amesema Kiowi.

Kwa upande wake Hamis Kassapa ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la UWODO amesema katika kikao walichokaa na wataalamu mbalimbali wameweza kuwajengea uwezo juu ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ili kwenda kuendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali za watoto kwenye makuzi

Aidha amehimiza wazazi na walezi kutenga muda wa kukaa na watoto na kuwajenga kwenye ulinzi pamoja na afya ili waweze kuwa na afya wakati wa makuzi yao.

Chanzo: Jambo Tv
Kama mtoto ni wako Basi ni wako tu ...niliwahi kubambikizwa mtoto miaka ya nyuma huko, nikamuambia Yule Dada nitumie picha ya mtoto , Ile picha nikawatumia ndugu yangu, walisema nimepigwa hapo.....ndugu wanaona zaidi
 
Mwanaume ukishapata io kadi ya mtoto hakikisha unamtengenezea cheti cha kuzaliwa uyo mtoto haraka iwezekanavyo na kama umeajiriwa mtengenezee na bima ya afya kwa kutumia icho cheti cha kuzaliwa kisha subiri izo drama zake ili aje akulipe gharama zote na fidia au akuachie mtoto. NB: Fanya haya ikiwa unaona kabisa kuna viashiria kwamba mtoto ni wako
Shida zote hizo za nini!? Kama Damu ni yako itakutafuta tu wwe wala usijali endelea na maisha yako!!
 
Akili ya kijinga io yani uache mtoto ateseke bila malezi ukisubiria kuja kutafutwa aseeee kazi kweli kweli
 
Akili ya kijinga io yani uache mtoto ateseke bila malezi ukisubiria kuja kutafutwa aseeee kazi kweli kweli
Na ukilea alafu baadae ukaja mjua baba wa ukweli wa huyo mtoto inamaana bado utangangania damu isiyo yako kisa umeweka gharama zako kwa damu ya mwanaume mwenzio au utaamua kimuuwa na mtoto mwenyewe ili mkose wote!!??
 
Na ukilea alafu baadae ukaja mjua baba wa ukweli wa huyo mtoto inamaana bado utangangania damu isiyo yako kisa umeweka gharama zako kwa damu ya mwanaume mwenzio au utaamua kimuuwa na mtoto mwenyewe ili mkose wote!!??
Baba mtoto ni alie mlea na hapo vyeti vyake vyote vinakuwa vina majina ya alie mlea tangu mwanzo hapo usitegemee kumpata uyo mtoto eti akitafute unaweza kusubili sana
 
Baba mtoto ni alie mlea na hapo vyeti vyake vyote vinakuwa vina majina ya alie mlea tangu mwanzo hapo usitegemee kumpata uyo mtoto eti akitafute unaweza kusubili sana
Baba mzazi ni aliyepanda mbegu yake,wwe utabaki kua ni Baba mlezi tu hata kama majina ni ya kwako!!
 
Back
Top Bottom