Polisi mkoani Njombe wamekamatwa watu wawili wa CHADEMA, Emmanuel Raston Ngelime (44) na Obadiah Tedius Chogwa (47) siku ya Jumanne, Oktoba 15, 2024 baada ya video kusambaa, ikionyesha wakiwa wamemzuia na kumhoji kijana aliyejitambulisha kama kijana wa CCM, Antony Mtagawa baada ya kuadaiwa kusambaza majina hewa kwenye vituo vya kujiandikisha. Polisi wameeleza kuwa Ngelime na Chogwa walitumia nguvu kumshambulia Mtagawa.
“Ninafanya kazi kama coordinator wa vijana wa CCM wa Mgendela. Nilikuwa nikihamasisha watu kuja kujiandikisha,” alisema Antony Mtagawa wakati akihojiwa na wanaume wawili waliomshuku kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura katika eneo lao.
“Antony Mtagawa ni mwanachama wa CCM na alikuwa akifanya kazi kama wakala wa chama katika kituo hicho cha kujiandikisha kwa sababu mwenziwe hakuwepo. Hata hivyo, kwa kuwa hakuwa anafahamika na wakala wa CHADEMA, alishukiwa kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura,” alifafanua Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga.
“Wanaume hao wawili walimshambulia Mtagawa, na kumletea madhara, lakini uchunguzi wetu umeonesha kuwa hakuna tatizo la kujiandikisha wapiga kura wa uwongo,” Banga aliongeza.
Polisi walithibitisha kuwa wanaume hao wawili watafikishwa mahakamani, na walitoa wito kwa umma kutofanya maamuzi wenyewe bali kufuata taratibu za kisheria.
Polisi mkoani Njombe wamekamatwa watu wawili wa CHADEMA, Emmanuel Raston Ngelime (44) na Obadiah Tedius Chogwa (47) siku ya Jumanne, Oktoba 15, 2024 baada ya video kusambaa, ikionyesha wakiwa wamemzuia na kumhoji kijana aliyejitambulisha kama kijana wa CCM, Antony Mtagawa baada ya kuadaiwa kusambaza majina hewa kwenye vituo vya kujiandikisha. Polisi wameeleza kuwa Ngelime na Chogwa walitumia nguvu kumshambulia Mtagawa.
“Ninafanya kazi kama coordinator wa vijana wa CCM wa Mgendela. Nilikuwa nikihamasisha watu kuja kujiandikisha,” alisema Antony Mtagawa wakati akihojiwa na wanaume wawili waliomshuku kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura katika eneo lao.
“Antony Mtagawa ni mwanachama wa CCM na alikuwa akifanya kazi kama wakala wa chama katika kituo hicho cha kujiandikisha kwa sababu mwenziwe hakuwepo. Hata hivyo, kwa kuwa hakuwa anafahamika na wakala wa CHADEMA, alishukiwa kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura,” alifafanua Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga.
“Wanaume hao wawili walimshambulia Mtagawa, na kumletea madhara, lakini uchunguzi wetu umeonesha kuwa hakuna tatizo la kujiandikisha wapiga kura wa uwongo,” Banga aliongeza.
Polisi walithibitisha kuwa wanaume hao wawili watafikishwa mahakamani, na walitoa wito kwa umma kutofanya maamuzi wenyewe bali kufuata taratibu za kisheria.
Nimeona picha mmoja mfuasi wa chadema akitoka damu na taarifa ilionea kwamba kapigwa na wafuasi wa ccm. Jee wamekamatwa na wao?
Katika Surah Al-Ma’idah, aya ya 8, Qur'an pia inahimiza kutotenda kwa upendeleo wala chuki:
"Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamia uadilifu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkitoa ushahidi kwa uadilifu. Wala chuki ya watu isiwapelekee kutoadilika. Iadilini, hiyo ndiyo iliyo karibu zaidi na uchaji Mungu. Na muogopeni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye khabari za mnayoyatenda."
(Qur'an 5:8)
Hii inaonyesha kuwa hata kama mtu ana chuki au ana uhusiano mbaya na wengine, hiyo haipaswi kumzuia kutoa haki kwa uadilifu.
Polisi mkoani Njombe wamekamatwa watu wawili wa CHADEMA, Emmanuel Raston Ngelime (44) na Obadiah Tedius Chogwa (47) siku ya Jumanne, Oktoba 15, 2024 baada ya video kusambaa, ikionyesha wakiwa wamemzuia na kumhoji kijana aliyejitambulisha kama kijana wa CCM, Antony Mtagawa baada ya kuadaiwa kusambaza majina hewa kwenye vituo vya kujiandikisha. Polisi wameeleza kuwa Ngelime na Chogwa walitumia nguvu kumshambulia Mtagawa.
“Ninafanya kazi kama coordinator wa vijana wa CCM wa Mgendela. Nilikuwa nikihamasisha watu kuja kujiandikisha,” alisema Antony Mtagawa wakati akihojiwa na wanaume wawili waliomshuku kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura katika eneo lao.
“Antony Mtagawa ni mwanachama wa CCM na alikuwa akifanya kazi kama wakala wa chama katika kituo hicho cha kujiandikisha kwa sababu mwenziwe hakuwepo. Hata hivyo, kwa kuwa hakuwa anafahamika na wakala wa CHADEMA, alishukiwa kuwa anashughulikia orodha ya wapiga kura,” alifafanua Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga.
“Wanaume hao wawili walimshambulia Mtagawa, na kumletea madhara, lakini uchunguzi wetu umeonesha kuwa hakuna tatizo la kujiandikisha wapiga kura wa uwongo,” Banga aliongeza.
Polisi walithibitisha kuwa wanaume hao wawili watafikishwa mahakamani, na walitoa wito kwa umma kutofanya maamuzi wenyewe bali kufuata taratibu za kisheria.
Hawa polisi ni lini watatoka hadharani na kusema wamemuita yule katibu wa uvccm aliyejisifu kuwa atawashughulikia watu wa mitandaoni ili kuonesha hawaegemei upande mmoja!
Hao polisi ndio nguvu halisi ya ccm. Nje ya hiyo nguvu ya polisi, ccm ni wachumba tu. Yaani kama kuna taarifa huwa siichukulii serious, basi ni hiyo taarifa ya polisi.