Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baada ya mtoto aliyekuwa anatoka shuleni kutumbukia mtoni wakati akivuka daraja, wananchi wa kitongoji cha Kilovoko kijiji cha Tandala wilayani Makete mkoani Njombe wameamua kufanya matengenezo ya eneo hilo ili lipitike kwa urahisi
Wananchi hao wakiendelea na matengenezo Februari 22, 2024 ambapo wameamua kuweka makalavati ili eneo hilo liweze kupitika kwani wamesema njia hiyo huitumia kwa shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo kwenda makaburini, kanisani pamoja na kwenye shughuli zao za kilimo kwa kuwa ni njia ya mkato
Wananchi hao wakiendelea na matengenezo Februari 22, 2024 ambapo wameamua kuweka makalavati ili eneo hilo liweze kupitika kwani wamesema njia hiyo huitumia kwa shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo kwenda makaburini, kanisani pamoja na kwenye shughuli zao za kilimo kwa kuwa ni njia ya mkato