House4Rent Njoo chukua ofisi fasta upige kazi acha kulalamika hovyo....!

House4Rent Njoo chukua ofisi fasta upige kazi acha kulalamika hovyo....!

PowerWithin

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
646
Reaction score
501
Yeah! Kulalamika mwisho 2016! Huu ni muda wa kuchacharika ewe mtanzania mwenzangu!

Fursa zipo kibao sana. Ila fikra zetu zimefungwa. Naziombea katika jina la Yesu Kristo fikra zetu zifunguliwe mwaka huu na tuanze kutiisha fursa na kujikwamua kimaisha! Amen.

Baada ya neno la ukombozi (of course huu mwaka ni wa kiroho zaidi) naomba kuweka hoja mezani.

Pale mabibo mwisho dsm. Kuna ofisi inapangishwa. Ofisi ina meza mbili kubwa. Mlango mzuri wa kioo (tinted). Viti vinne (ila sio vizuri sana). Na feni ya juu pangaboi kubwa tu.

Inawafaa wahasibu, wakaguzi wa mahesabu, wanasheria, mawakili, etc yaani kwa kifupi ofisi ya kisomi kisomi papers papers kwa sana. Ipo kwenye mazingira tulivu sana.

Ofisi iliyokuwepo hapo imehamia sehemu nyingine baada ya kujitanua kwa shughuli zake ofisi imekuwa ndogo. Blessings!

Sasa wanataka mtu wa kuchukua ofisi hiyo ambaye atarejesha gharama za meza, mlango wa vioo na feni. Badala ya kuving'oa na kuondoka nazo yamkini kuna watz wanahitaji.

Meza mbili sh 400,000 Mlango wa vioo sh 500,000 na feni sh 100,000. Jumla sh 1,000,000.

Kodi kwa mwezi pale sh 60,000 kwa mwezi tu. Hakuna dalali. Unaunganishwa na wahusika direct.

Nicheki hapa: appbit3@gmail.com

Karibuni!
 
Kama ni fursa kwanini usiitumie wewe mkuu!?
Au wewe hujaiona?
Ndo maana nasema nyie hamkosekanagi....yaan wewe kusoma kote li thread lote hilo hujaelewa context ya hilo li thread!. Khaaaa.....! ngachoka!
 
Hapana picha situpii mkuu!.......nimetafakari kwa ukubwa maana ni ofisi iliyokuwa inatumika na wenyewe! So sio fair!
Mkuu usiweke picha wala nini.
Maelezo yako yanajitosheleza.
Mabibo napapenda sana..
Mkisikia kuna nyumba inauzwa mabibo niambieni
 
Ndo maana nasema nyie hamkosekanagi....yaan wewe kusoma kote li thread lote hilo hujaelewa context ya hilo li thread!. Khaaaa.....! ngachoka!
Hivi mkuu kama mtu anahitaji hiyo sehemu lakini wala haitaji hivyo viti na meza vp hautompatia??
 
Hivi mkuu kama mtu anahitaji hiyo sehemu lakini wala haitaji hivyo viti na meza vp hautompatia??
Dah.....hahahahaha! acha nicheke kwanza kwa akili yako hii. Dah ila nawewe ungeuliza mwishoni! dah....!!!! sikujibu! eeeehhh!
 
kumbe ofisi niyaki somi somi.ngoja waje wasomi..[emoji16][emoji16]
 
Mkuu usiweke picha wala nini.
Maelezo yako yanajitosheleza.
Mabibo napapenda sana..
Mkisikia kuna nyumba inauzwa mabibo niambieni
Hahahhaa.....ahsanteeeeeeee! nyumba nikisikia nitakustua mkuu. Mm tabata pananitoa uzingizi!
 
Dah.....hahahahaha! acha nicheke kwanza kwa akili yako hii. Dah ila nawewe ungeuliza mwishoni! dah....!!!! sikujibu! eeeehhh!
kwanini mkuu hutaki kunijibu na kwa nn umeilaumu akili yangu
 
Back
Top Bottom