House4Rent Njoo chukua ofisi fasta upige kazi acha kulalamika hovyo....!

Mkuu usiweke picha wala nini.
Maelezo yako yanajitosheleza.
Mabibo napapenda sana..
Mkisikia kuna nyumba inauzwa mabibo niambieni
Itakuwa wewe ndiye mwenye nyumba! Huyo mwingine ni middleman tu! Hapo ni kama mnauza hizo furniture tu!! Meza mbili na Mlango=milioni!! Halafu Ofisi yenyewe ambayo ndiyo main target ni elfu sitini tu kwa mwezi!! Unampangishia mtu nyumba halafu mlango unakuwa tofauti na nyumba! Biashara ndani ya biashara!! I. Like it
 
Kila kitu mnashuku.....kwani akipanga ofisi haweki meza? haweki feni? haweki mlango wa kioo? mbona haya maelezo hukuyatoa umekimbilia kushuku!? sasa biashara ndani ya biashara ipo wapi hapa?!
 
Kila kitu mnashuku.....kwani akipanga ofisi haweki meza? haweki feni? haweki mlango wa kioo? mbona haya maelezo hukuyatoa umekimbilia kushuku!? sasa biashara ndani ya biashara ipo wapi hapa?!
Biashara ya Nyumba na mlango!!
 
Ofisi bila tenda au biashara ya kuingiza kipato ni bure tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…