Mr chapu chapu
Member
- Sep 11, 2020
- 52
- 22
Hiyo bei siyo ndogoMbona nyumba nzuri halafu bei ni ndogo? Au ina mgogoro?
linganisha bei na location utapata majibuMbona nyumba nzuri halafu bei ni ndogo? Au ina mgogoro?
linganisha bei na location utapata majibu
Fika kwa kuhakiki kila kitu utapata majibu boss wangu !!!! MWENYE NYUMBA ANASHIDA ZAKEMbona nyumba nzuri halafu bei ni ndogo? Au ina mgogoro?
Ukubwa wa eneo unaangalia kwa macho !!!! Ahsante utaziona baadae hizo sqm 400400sqrm mbona sioni hapo.
Boss wangu ana shida zake ndiyo maana kaishusha bei karibu sanaOk..mi nimejaribu tu kuangalia gharama za kujenga hiyo nyumba na kakiwanja kwa 400sqrm nikaona kama vile iko chini bei