Mzee umeniona hapa [emoji28][emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!
Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.
Ni mimi kabisa hapo, hiyo ni ya kitambulisho changu cha sékondari, bado nimekitunza hadi muda huu na hata tulipokutana pale Dom nilikuwa nacho.Mm nakufahamu nakumbuka tulivyokula wote kuku pale maeneo ya DODOMA tukapanda zetu li vix la serikali mpaka kilimani.
Siimani hiyo avatar ni wewe kweli
Nina wivu na mm nimejiweka hapo nimekulipa.View attachment 1182241
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!
Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha
Kumbe ni wewe mwanangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Daaaahh, utotoni bana, ilikuwa mtoto unavalishwa tshirt oversize peke yake bila kaptula.Mzee umeniona hapa [emoji28]View attachment 1182246
Unakumbuka yule mwana aliyepigana na mbabe mmoja pale class dgo flan hivi falafala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni mimi, ebu funguka hapa hapa tuone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakumbuka yule mwana aliyepigana na mbabe mmoja pale class dgo flan hivi falafala View attachment 1182254
Hivi wewe una undugu na Baba Swalehe ??[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!
Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.