Njoo na 3.1 m Nikutengenezee 14 milioni kwa miaka miwili.

Njoo na 3.1 m Nikutengenezee 14 milioni kwa miaka miwili.

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,833
Habari JF
Kwa wale wanaohitaji passive income, Naomba wawasiliane na mimi!

Tunaenda kuwekeza kwenye Biashara ambayo gurantee ya kupata hasara ni 0000.0001%
Biashara hii ni huduma ndio huduma.
Usafirishaji

Kama unahitaji clarification zaidi Tuwasiliane kwa namba yangu ya simu inayopatikana PM.

Karibuni....!
 
Habari JF
Kwa wale wanaohitaji passive income, Naomba wawasiliane na mimi!

Tunaenda kuwekeza kwenye Biashara ambayo gurantee ya kupata hasara ni 0000.0001%
Biashara hii ni huduma ndio huduma.
Usafirishaji

Kama unahitaji clarification zaidi Tuwasiliane kwa namba yangu ya simu inayopatikana PM.

Karibuni....!
Nyooo tunaijua hiyo
 
Duh... Alafu usikie mbongo anakwambia Fanya ishu flani inalipa ujue unapigwa ama la huo mchongo ndo unaishia
 
Nasemaje This is serious issue!

Masikini wanaendelea kuwa masikini kwa kudhani kila fursa ni utapeli.

Hii ni isssue ya Bajaj.
Hata sio forever!
Au BFsuma
 
Nasemaje This is serious issue!

Masikini wanaendelea kuwa masikini kwa kudhani kila fursa ni utapeli.

Hii ni isssue ya Bajaj.
Hata sio forever!
Au BFsuma
nimekuja PM ila naona kimya mkuu.
 
Nasemaje This is serious issue!

Masikini wanaendelea kuwa masikini kwa kudhani kila fursa ni utapeli.

Hii ni isssue ya Bajaj.
Hata sio forever!
Au BFsuma
Kama ni bajaji ni wazo zuri kama REJESHO La boss ni 20K per day basi within 2 years utarejesha hesabu ya 14M ila sasa anayekupa lazima ajiridhishe na unapokaa na Makazi yako pamoja na Wadhamini wako wawepo eneo husika.

Kama upo Dar unaweza ukatoboa Kwa hesabu hizi, ila sasa title ya Uzi wako umekaa vibaya ndio maana watu wanashindwa kukuamini. Ungesema tu unataka bajaji ya MKATABA haya yote yasingetokea.

All the best ni Biashara nzuri Kwa 3.1M, Hesabu inarudi ndani ya miezi 5 tu pekee.
 
Back
Top Bottom