Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Nyooo tunaijua hiyoHabari JF
Kwa wale wanaohitaji passive income, Naomba wawasiliane na mimi!
Tunaenda kuwekeza kwenye Biashara ambayo gurantee ya kupata hasara ni 0000.0001%
Biashara hii ni huduma ndio huduma.
Usafirishaji
Kama unahitaji clarification zaidi Tuwasiliane kwa namba yangu ya simu inayopatikana PM.
Karibuni....!
nimekuja PM ila naona kimya mkuu.Nasemaje This is serious issue!
Masikini wanaendelea kuwa masikini kwa kudhani kila fursa ni utapeli.
Hii ni isssue ya Bajaj.
Hata sio forever!
Au BFsuma
Kama ni bajaji ni wazo zuri kama REJESHO La boss ni 20K per day basi within 2 years utarejesha hesabu ya 14M ila sasa anayekupa lazima ajiridhishe na unapokaa na Makazi yako pamoja na Wadhamini wako wawepo eneo husika.Nasemaje This is serious issue!
Masikini wanaendelea kuwa masikini kwa kudhani kila fursa ni utapeli.
Hii ni isssue ya Bajaj.
Hata sio forever!
Au BFsuma
Comedy[emoji23]Miaka hiyo miwili nikiwa na hiyo 3.1 M, naweza kutengeza 50M net profit.
Hao qnet ndo nyoko sana hao mbwaOntario,klyanda,Mr kuku,Qnet, wale wazee wa kilimo cha vanilla
Mwingine aongezee anachokumbuka kuhusu hela za kudownlod
Hadith za ALFU LELA ULELAMiaka hiyo miwili nikiwa na hiyo 3.1 M, naweza kutengeza 50M net profit.
Kweli mkuu miaka 2 ni mingi sanaComedy[emoji23]
Utasikia "FOREX"Kweli mkuu miaka 2 ni mingi sana
Tupe mchongo huo tuje kuwekezaMiaka hiyo miwili nikiwa na hiyo 3.1 M, naweza kutengeza 50M net profit.