PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Bwana Yesu Kristo asifiwe, ....
Asalaam aleykum......
Habari zenu wana jamii forums nauza kiwanja changu binafsi kipo mbezi ya kimara -Makabe zoezi la upimaji tayari ila hati bado hazijaja, nimekosa picha lakini kipo sehemu nzuri sana, na nitambarare, umeme na maji ya dawasco yapo hapo hapo hatua kumi na tano tokea kwenye kiwanja,
Njoo nikuuzie kwa bei ya kawaida tuu
Bei ni 5,500,000/= mazungumzo yapo kwa kuwa ni mm mwenyewe ndio muhusika,
Ukubwa wake ni Square meter 205
Mawasiliano: 0655112023
NB: KIWANJA NI KIZURI NA NI TAMBARARE KABISA
Pia kama kuna dalali atahitaji kusimamia hii kazi namkaribisha lengo langu ni kuuza kwa amani kabisa.
Asalaam aleykum......
Habari zenu wana jamii forums nauza kiwanja changu binafsi kipo mbezi ya kimara -Makabe zoezi la upimaji tayari ila hati bado hazijaja, nimekosa picha lakini kipo sehemu nzuri sana, na nitambarare, umeme na maji ya dawasco yapo hapo hapo hatua kumi na tano tokea kwenye kiwanja,
Njoo nikuuzie kwa bei ya kawaida tuu
Bei ni 5,500,000/= mazungumzo yapo kwa kuwa ni mm mwenyewe ndio muhusika,
Ukubwa wake ni Square meter 205
Mawasiliano: 0655112023
NB: KIWANJA NI KIZURI NA NI TAMBARARE KABISA
Pia kama kuna dalali atahitaji kusimamia hii kazi namkaribisha lengo langu ni kuuza kwa amani kabisa.