scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 457
- 328
Weka pichakwa anaehitaji saloon ya kiume in a kila kitu mashine za kunyoa 2, vioo 3, viti vya kunyolea vya dukani 2 kiti cha wateja cha chuma vile special vya dukani kinakaliwa na watu watatu 1 ,shelf 2. ,salooni nauza kwa 350,000/= fixed. location ni mwanza Buhongwa kama upo interested hamna haja ya kujibu huku wewe ncheki whatsap 0674978709 au nipigie 0615 953988.
njoo in box na kama upo mwanza twende siteHebu weka picha bana tuone saluni ya kisasa yenye kila kitu inayouzwa laki 3
Weka vizuri tarakimu zako..sidhani kama umemaaniaha laki tatu na nusu?!njoo in box na kama upo mwanza twende site