Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ngoja watakuja mkuu umetoka lini USA?Nimekuja hapa Samaki Samaki ya Mlimani City dakika chache zilizopita lakini sina kampani.
Nahitaji kampani ya mchuchu ila kuna sharti moja tu jepesi - nahitaji mchuchu ambaye hayupo singo.
Yaani nahitaji mchuchu ambaye ana bwana tayari.
Mchuchu njoo ule raha na Ngabu. Mi nakunywa Heineken kama inavyoonekana hapo pichani....nshakula na mishkaki lakini kwa vile iko mitamu balaa nadhani ntaongeza mingine.
Aliye na raghba ya kuja ku hang out na Ngabu aniPM.
View attachment 361972
Wako hapo kibao kwa nini uhangaike?? Chagua mmoja hapo wana randa randa..
Ngoja watakuja mkuu umetoka lini USA?
Dinazarde hujamcheki?? Anapenda sana wanaume wa marekaniπππππ
Ndo hivyo mdau..Sema alinikimbia baada kupata mwanaume wa USWe ndo ex wake nini?
Ndo hivyo mdau..Sema alinikimbia baada kupata mwanaume wa US
Ndo hivyo mdau..Sema alinikimbia baada kupata mwanaume wa US
Nishapoa mdau. Ila na mm itabidi nifanye mpango niende US niwakamate watoto wa kibongo kama akina DinaPole braza...ndo maisha hayo!
Dinazarde hujamcheki?? Anapenda sana wanaume wa marekaniπππππ
Nitakutaarifu akinicheki sawa
Wala usinitaarifu mana moyo utaumia tu..Si unajua bado upo deep inside my heart??? Wewe kula raha tu na ngabuNitakutaarifu akinicheki sawa
Mhaya ni mtu anayetokea mkoa wa Kagera.
πππππ kumbe ata samaki itakuwa swaga tu watu wafunge safari bure;Mi naishi Buza siku zote.
Mambo ya USA ni swagga tu.
πππππ kumbe ata samaki itakuwa swaga tu watu wafunge safari bure;