geesten66
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 2,042
- 2,370
Habari ndugu.
Sikuhizi ajira zimekosa mambo yamekuwa magumu
Kuna Rafiki yangu anafanya kazi kwa muhindi kariakoo ya kuuza bidhaa za Dukani
Anatafuta mtu wa kuchanga naye mtaji waanzishe Biashara ya nguo za kike pamoja na viatu vya kike maeneo ya Gongo la mboto
Tunajuwa maeneo yote yakuchukuwa mzigo kariakoo kwa bei sawa na bure
Tunahitaji mtu mmoja wa kushirikiana naye mtaji aliyepo Dar es salaam
Tupo watu wa 2 tunaitaji mwengine wa Tatu
Kiasi kinacho takiwa uwe na shilingi laki 400000
kwenye kila laki nne tutatoa laki 100000 kwaa jili ya fremu itabaki laki 9 ndiyo tuta chukulia mzigo kariakoo
Kuhusu kununuwa tutakuwa bega kwa bega hela yako ukiwa umeishika mwenyewe.
Sikuhizi ajira zimekosa mambo yamekuwa magumu
Kuna Rafiki yangu anafanya kazi kwa muhindi kariakoo ya kuuza bidhaa za Dukani
Anatafuta mtu wa kuchanga naye mtaji waanzishe Biashara ya nguo za kike pamoja na viatu vya kike maeneo ya Gongo la mboto
Tunajuwa maeneo yote yakuchukuwa mzigo kariakoo kwa bei sawa na bure
Tunahitaji mtu mmoja wa kushirikiana naye mtaji aliyepo Dar es salaam
Tupo watu wa 2 tunaitaji mwengine wa Tatu
Kiasi kinacho takiwa uwe na shilingi laki 400000
kwenye kila laki nne tutatoa laki 100000 kwaa jili ya fremu itabaki laki 9 ndiyo tuta chukulia mzigo kariakoo
Kuhusu kununuwa tutakuwa bega kwa bega hela yako ukiwa umeishika mwenyewe.