Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Achana na hicho kiumbe.. Freekick kwake ilikuwa kama penati kwa balloteliSydne gouvu, erick abidal,sylvan wiltord,michael essien, florent malouda, junihno penambucano huyu mtu kwa dead balls alikuwa hafai kabisa
Umenikumbusha mbali sana mkuu huyo jerome nothern namkumbuka sana hususani kwenye mechi ya nusu fainal monaco akicheza na derpotivo La curunaKimsingi soka la ufaransa lina kipindi chake liliweza kuwaamsha watu kwani dhana ya kuwa ni soka laini ilikuwepo na bado kwa baadhi ya watu huliona hivyo. Naikumbuka monaco ya kina evra nayo iliwatoa udenda Madrid winga jerome rothern na full back evra walimpiga mande (nde )roberto Carlos mpaka akashika kiuno na wakiendelea mbali mpaka kufika final na kufungwa 3 na Porto ya Ureno.